Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,425
- 54,887
Basi faza yaishe ๐๐๐๐๐๐Unazingua ๐
Basi faza yaishe ๐๐๐๐๐๐Unazingua ๐
Sio kweli, asili yake ni kutoka uganda mkuu na sio Kenya kama walivyoeleza wadau hapo juuHii biashara ilianzia Kenya,Na Kenya wanatumia maneno mengi ya English katika maongezi yao,neno border kwa English ni mpaka wa baina ya kijiji na kijiji,wilaya na wilaya,mkoa na mkoa,nchi na nchi,kwa hiyo wakimaanisha,wakikubeba nikutoka ulipo mpaka mwisho wa safari yako,hawakushushi kwenye kituo cha bus kama daladala.Ni.mbinu yakutangaza biashara zao,kuwa ukipakia bodaboda,inakuchukuwa uliko,huna haja ya kwenda kituo cha bus,na kukufikisha unakokwenda,hawakushushi njiani,kwa sababu pikipiki tofauti na gari na bajaj,inapenya hata kichochoro au daraja la wapita kwa miguu.
Kwa hiyo ni AKA Chochochocho?chocho kwa chocho
Sisi waendesha pikipiki tuliamua kuziita bodaboda kwa sababu tulikuwa tunazotumia kuvuka border Ya Kenya kwa speed kali tukiwa na mirungi au bangi, kwahy tukaziita border border.boda kwa boda ngoja mhaya aje atuambie huko uganda kunasemahe dronedrake Poor Brain BICHWA KOMWE - To yeye Intelligent businessman Mbaga Jr
Umemaliza kila kitu mpaka nimekosa cha kumuongeza.Asili ya neno Bodaboda inatokana na neno/maneno ya kiingereza 'boader to boader' ikimaanisha 'mpaka hadi mpaka'. Biashara ya ukodishwaji wa pikipiki kama chombo cha kusafiria ilianzia zaidi mipakani hasa maeneo ya Congo, Uganda na Rwanda, ambako wafanya biashara wa biashara (halali na haramu) walitumia zaidi usafiri wa pikipiki za kukodi kusafiria, lakini zaidi kutoka mpaka mmoja hadi mpaka mwingine, au hadi kuvuka mpakani kuingia nchi nyingine. Abiria alimwambia dereva wa Bodaboda kwamba 'nipekele kutoka boda hii hadi boda ya upande mwingi (Bodaboda)
Kwa watu wa Kyela ni jina la miaka na miaka enzi za kina Kaka, mabasi ya Kyela yalikuwa yakifika karibu na Kyela mijini akina Matemabeach, Zainab, Railway na mengineo yanasimama njiapanda ya kwenda Kasumulu ambako ni mpaka wa Tanzania na Malawi, hapo njiapanda walikuwepo vijana wenye baisikeli zenye viti vipana kwa kubeba abiria, basi likisimama vijana hao huanza kuita abiria kwa kusema "BODA" wakiwa na maana ya kuwapeleka Kasumulu kwenye mpaka wa Tanzania na Malawi, hicho ndicho chanzo cha jina Bodaboda.Wadau nawasabahi Nimekuwa nasikia Waendesha Pikipiki za biashara wanaitwa BODABODA binafsi sijui kwanini wanaitwa jina hiyo .Ombi kwenu nini Asili ya jina hilo mpaka Wakaitwa hivyo?
Huku naigeria tunawaita Okada manWadau nawasabahi Nimekuwa nasikia Waendesha Pikipiki za biashara wanaitwa BODABODA binafsi sijui kwanini wanaitwa jina hiyo .Ombi kwenu nini Asili ya jina hilo mpaka Wakaitwa hivyo?
Ni kweli, kwa kuongezea tu; ilianza na baiskeli, ndio zilikua zinaitwa bodaboda, hata Kampala mjini.Asili ya hilo neno ni huko mpakani mwa Tanzania na Uganda. Kuna mizigo ilikuwa inaenda kuchukuliwa Uganda sasa ili kuingia Uganda lazima uvuke mpaka yaani border tamka boda.
Hivyo dereva wa pikipiki akiwa ananadi usafiri wake utamka boder border akimaanisha usafiri huu unaenda mpakani