Nini asili ya neno Arab? Arab ni mtu mweusi

Nini asili ya neno Arab? Arab ni mtu mweusi

mlekulechoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
1,366
Reaction score
1,059
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!
 
You are right op, infact binadamu wa kwanza duniani alikuwa black.
We are the original hue man.
 
[h=2]The First Man is Honoured[/h]And God said, to the Angels:
"And (remember) when your Lord said to the angels: ‘I am going to create a human (Adam) from sounding clay of altered black smooth mud. So when I have fashioned him and breathed into him (his) soul created by Me, then you fall down prostrate to him." (Quran 38:71-72)
God honoured the first humman, Adam, in countless ways. Allah blew his soul into him, He fashioned him with His own hands and He ordered the Angels to bow down before him. And God said to the Angels:

We all are cousins (binamu)....yaani (Africans,Asians,ARABS,Europeans,Latinos,Americans,etc).... Babu yetu ni Adam !!!
 
There is no biblical or koranic evidence that the first man was black..
Isn't it
 
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!

Acha ubaguzi,

Wana wa Adamu wote tumetoka kwa Adamu na Adamu katoka kwenye udongo.
 
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!
TUSOME HISTORYIA YA NUHU (NOAH) NA WATOTO WAKE.......
Kwa Mukhtasar na kwa lugha pevu ni hivi:- Waarabu ni Umma, Yaani ni multi-National wapo Waarabu Weusi tii, weusi khadharani, Weupe Pee, weupe samli, wapo pia Colored Arabs (mchanganyiko) ..Yaani AFROARAB,ASIANARAB,INDOARAB, SPANISHARAB,nk...

Hiyo ni kukudhihirishia kuwa Baba Mwaarabu ndo mwnye mbegu kali kuanzia Mashariki hadi Magharibi, na lugha yao ndo hitimisho !! Beduyin (bedui) walikuwa wakisafiri kwa kutumia falaki na nyota wakaweza kuunganisha makabila. ndo wakaweza kuwa NA mATAIFA 22 YA KIAARABU MUSTAARABU !!

Kakende STDVII Hoshea Mahmoud Ngongoseke
 
Last edited by a moderator:
kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika saud arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno arab ni mtu mweusi!
mara zote mm naamini original man ni mtu mweusi, nasema hivi kwasababu kila mtoto anapozaliwa anakuwa mweupe, taaratibu anabadirika na kuwa mtu mweusi na wengine wanabaki kuwa weupe. Mm siyo mwanasayansi ila najua watu watakuja na ushahidi wa kisayansi kwa kutumia vitabu na maandiko tofauti, hata tunatakiwa kujiuliza hivyo vitabu vimeandikwa na nani na walioandika hivyo vitabu wanamika kwa kiasi gani, hasa ikizingatiwa kwamba vitabu vingi vya hitoria vimejaribu kupotosha ukweli?
 
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!


اللّغة العربيّة

The Arabian peninsula was the source of many Semitic migrations to both Iraq and Syria regions. Semites became the dominating people in these regions thousands of years ago; and although they had developed different languages over time, Semitic languages retained considerable degrees of similarity.

North Africa was inhabited by peoples who spoke Hamitic languages which are now largely considered to be cognates of the Semitic languages.

The word Arab عَرَب, which is probably an alteration of عَبَرَ= "crossed," began to be used at some point in history to refer to Semitic nomads who wondered in the Syrian and Arabian deserts. Greeks and Romans referred to all the nomadic population of the desert in the Near East as Arabi. The Romans called Yemen Arabia Felix = "happy Arabia" because of its prosperity at that time. The Romans called the vassal nomadic states within the Roman Empire Arabia Petraea after the city of Petra, and called unconquered deserts bordering the empire to the south and east Arabia Magna.

Semitic Arameans were an alliance of Arabian tribes who migrated at around 1200-1500 BC from Arabia north into the Syrian desert and then into Syria. Later, the usage of the Aramean language, or Aramaic, spread all over the region, and Aramaic became the lingua franca of the ancient Middle East.

Arab historians in Middle Ages used to count Arameans as Arabs. Archeological findings show that ancient Akkadians of Mesopotamia may have called some Arameans "areebo. It is also believed now that the name of the Hebrewsעבריים , which is derived form the same root as Arabs (عبر= עבר = crossed) refers to the nomadic lifestyle of ancient Hebrews. Hebrews or Israelites were probably nomadic Semitic tribes that lived in the Sinai peninsula prior to their push into Canaan or Palestine. The renowned Greek historian Herodotus wrote also that Phoenicians were Arab people who migrated to Canaan from the Red Sea area. These examples show that the concept of "Arabs" probably was not as restricted in ancient times as it is today, and that it was used to refer to nomadic Semites in general, who usually lived in Arabia, and hence the name.

In the 5th BC, Semitic Nabateans began moving from Arabia north into territory in the Syrian desert that was vacated by the Edomites -- Semites who settled the region centuries before them. The nomadic newcomers wrote in vernacular Aramaic, but they are now identified as Arabs. They had a kingdom that covered the east bank of the Jordan River, the Sinai Peninsula and northern Arabia. Perhaps because of the importance of the caravan trade, the Nabateans began to use Aramaic in preference to Old North Arabic, their mother tongue. The Nabateans adopted Aramaic alphabet and script, which were derived from the Phoenician alphabet and script, and those evolved into modern Arabic alphabet and script around the 4th century.
 
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!

Kwanza kabisa kuna dhanna uliyokwisha ikubali na haiko sawa kimantiki. Unaposema "Uarabuni", Uarabuni ni neno la kuashiria kuwa huko kuna Waarabu, kuna Uarabuni Igunga, kuna Uarabuni Bujumbura na waliopaita Uarabuni hapo Igunga na Bujumbura hawajakosea kabisa, waliashiria kuwa hapo kuna Waarabu. Na Uarabuni si nchi au Taifa fulani au sehemu fulani maalum, Uarabuni inaweza kuwa popote tu.

Hapa Dar kwa sisi wa zamani, kuna Uzunguni, Uhindini, Uswahilini. Hakuna kosa katika hayo, ndipo sehemu ulipokuwa unawaona Wazungu, Wahindi na Waswahili wakiishi na iliashiria hivyo.

Neno Arab.
Neno Arab linatokana na neno "Arabiya" kwa maana "caravan" au msafara. Waarabu ni watu wa misafara waliokuwa wakiongea lugha yao ya Kiarabu (lugha ya watu wa misafara), Uarabu si Taifa wala si Kabila wala si rangi ya watu fulani, Uarabu ni lugha.

Wengi wa hawa Waarabu asili na kwao haswa ni Afrika, na ndipo wanapopatikana kwa wingi kuliko popote kwingine duniani. Na lugha ya Kiarabu ndiyo llugha inayotumika sana Afrika na kwa watu wengi zaidi kuliko kwingine kokote duniani.

Kumbuka pia, bara la Afrika na Asia lilikuwa halina mpaka wala kizuizi cha kuingiliana misafara mpaka hapo mwaka 1859 mfereji wa Suez ulipoanza kujengwa na kuigawa Afrika na Asia, ndipo misafara na muingiliano wa bila kizuizi wa mabara haya mawili ulipoingia dosari.

Uarabu ni Uafrika halisia, ulimwagikia tu Asia kwa kuwa kulikuwa hakuna kizuizi na biashara za enzi na enzi ziliruhusu muingiliano huo usio na kizuizi na kufanya Kiarabu kizagae sana hususan Kaskazini ya Afrika na Mashariki ya Afrika na Magharibi ya Asia. Hakuna shaka kuwa maneno ya Kiarabu yalizagaa mpaka kusini mwa Afrika tunapokutana na Shaka Zulu, Shaka = Sheikh.

Hayo ni kwa ufupi na uchache na katika hili nipo tayari kupokea maswali na unapohitajika ufafanuzi zaidi ntakuwa tayari kufanya hivyo.
 
Kwanza kabisa kuna dhanna uliyokwisha ikubali na haiko sawa kimantiki. Unaposema "Uarabuni", Uarabuni ni neno la kuashiria kuwa huko kuna Waarabu, kuna Uarabuni Igunga, kuna Uarabuni Bujumbura na waliopaita Uarabuni hapo Igunga na Bujumbura hawajakosea kabisa, waliashiria kuwa hapo kuna Waarabu. Na Uarabuni si nchi au Taifa fulani au sehemu fulani maalum, Uarabuni inaweza kuwa popote tu.

Hapa Dar kwa sisi wa zamani, kuna Uzunguni, Uhindini, Uswahilini. Hakuna kosa katika hayo, ndipo sehemu ulipokuwa unawaona Wazungu, Wahindi na Waswahili wakiishi na iliashiria hivyo.

Neno Arab.
Neno Arab linatokana na neno "Arabiya" kwa maana "caravan" au msafara. Waarabu ni watu wa misafara waliokuwa wakiongea lugha yao ya Kiarabu (lugha ya watu wa misafara), Uarabu si Taifa wala si Kabila wala si rangi ya watu fulani, Uarabu ni lugha.

Wengi wa hawa Waarabu asili na kwao haswa ni Afrika, na ndipo wanapopatikana kwa wingi kuliko popote kwingine duniani. Na lugha ya Kiarabu ndiyo llugha inayotumika sana Afrika na kwa watu wengi zaidi kuliko kwingine kokote duniani.

Kumbuka pia, bara la Afrika na Asia lilikuwa halina mpaka wala kizuizi cha kuingiliana misafara mpaka hapo mwaka 1859 mfereji wa Suez ulipoanza kujengwa na kuigawa Afrika na Asia, ndipo misafara na muingiliano wa bila kizuizi wa mabara haya mawili ulipoingia dosari.

Uarabu ni Uafrika halisia, ulimwagikia tu Asia kwa kuwa kulikuwa hakuna kizuizi na biashara za enzi na enzi ziliruhusu muingiliano huo usio na kizuizi na kufanya Kiarabu kizagae sana hususan Kaskazini ya Afrika na Mashariki ya Afrika na Magharibi ya Asia. Hakuna shaka kuwa maneno ya Kiarabu yalizagaa mpaka kusini mwa Afrika tunapokutana na Shaka Zulu, Shaka = Sheikh.

Hayo ni kwa ufupi na uchache na katika hili nipo tayari kupokea maswali na unapohitajika ufafanuzi zaidi ntakuwa tayari kufanya hivyo.
Hapa somo la kujifunza.... hata kama kumepita mkuruzano awali....!!
ShakaraAllah 3anki Dada Faiza, Ushukuriwe kwa mchango wako usiuokuwa na shaka wala Ubaguzi. Wasawahili husema.. " Mcheza kwao hutunzwa " Hivyo nakuita wewe ni Bahari ( kwa kiarabu Bahar ni mtu mwenye elimu na upeo mkubwa) ! mlekulechoma lidoda Kakende Mahmoud
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale waliobahatika kufika uarabuni au kusimuliwa habari za huko uarabuni, nini asili ya neno Arab? Je mtu / watu mweusi / weusi wanaoishi uarabuni wametokea wapi? Je ni wote walipelekwa huko kutokana na utumwa?

Je unafahamu mafarao wa kwanza walikua na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili kama zetu? Ukifika Saud Arabia utawakuta watu wengi tu weusi tena kuliko waafrika wenyewe. Hawa asili yao ni uarabuni hata kabla waarab wa leo ngozi nyeupe tunaowajua! Hawako huko kutokana na ile biashara ya utumwa kama wengi tujuavyo.

Maana ya neno Arab ni mtu mweusi!

Arabiya au sayara ni "gari"
 
Kwanza kabisa kuna dhanna uliyokwisha ikubali na haiko sawa kimantiki. Unaposema "Uarabuni", Uarabuni ni neno la kuashiria kuwa huko kuna Waarabu, kuna Uarabuni Igunga, kuna Uarabuni Bujumbura na waliopaita Uarabuni hapo Igunga na Bujumbura hawajakosea kabisa, waliashiria kuwa hapo kuna Waarabu. Na Uarabuni si nchi au Taifa fulani au sehemu fulani maalum, Uarabuni inaweza kuwa popote tu.

Hapa Dar kwa sisi wa zamani, kuna Uzunguni, Uhindini, Uswahilini. Hakuna kosa katika hayo, ndipo sehemu ulipokuwa unawaona Wazungu, Wahindi na Waswahili wakiishi na iliashiria hivyo.

Neno Arab.
Neno Arab linatokana na neno "Arabiya" kwa maana "caravan" au msafara. Waarabu ni watu wa misafara waliokuwa wakiongea lugha yao ya Kiarabu (lugha ya watu wa misafara), Uarabu si Taifa wala si Kabila wala si rangi ya watu fulani, Uarabu ni lugha.

Wengi wa hawa Waarabu asili na kwao haswa ni Afrika, na ndipo wanapopatikana kwa wingi kuliko popote kwingine duniani. Na lugha ya Kiarabu ndiyo llugha inayotumika sana Afrika na kwa watu wengi zaidi kuliko kwingine kokote duniani.

Kumbuka pia, bara la Afrika na Asia lilikuwa halina mpaka wala kizuizi cha kuingiliana misafara mpaka hapo mwaka 1859 mfereji wa Suez ulipoanza kujengwa na kuigawa Afrika na Asia, ndipo misafara na muingiliano wa bila kizuizi wa mabara haya mawili ulipoingia dosari.

Uarabu ni Uafrika halisia, ulimwagikia tu Asia kwa kuwa kulikuwa hakuna kizuizi na biashara za enzi na enzi ziliruhusu muingiliano huo usio na kizuizi na kufanya Kiarabu kizagae sana hususan Kaskazini ya Afrika na Mashariki ya Afrika na Magharibi ya Asia. Hakuna shaka kuwa maneno ya Kiarabu yalizagaa mpaka kusini mwa Afrika tunapokutana na Shaka Zulu, Shaka = Sheikh.

Hayo ni kwa ufupi na uchache na katika hili nipo tayari kupokea maswali na unapohitajika ufafanuzi zaidi ntakuwa tayari kufanya hivyo.

nakukubali sana mamaangu uko vizuri maelezo haya ya kwako excatly niliwahi kuyaona ktk kitabu cha the caravan cha pr.saad almasry yeye aliwahi kusema kwamba hata kiidadi al arab almustaarab(waarabu wa sasa) afrika wako wengi kuliko popote na hata ile kamusi inayotegemewa ambayo uina maneno takriban yote ya kiarabu ya lisaan el arab mtunzi wake ni muafrika kula like mamaangu uko juu
 
Mnaofahamu lugha neno arab maana yake ni nini?tusitoke kwenye mada.....nan atabisha farao wa kwanza walikua weusi?piramid za kwanza kujengwa zilikua sudan(nubia) na si misri?usibishe kwa ushabiki wa dini

This is the meaning of Arab:

A member of a Semitic people, originally from the Arabian peninsula and neighboring territories, inhabiting much of the Middle East (like Oman, Jordan, Palestine, Saidi arabia, Iraq, Yemen, Syria, Lebanon, Kuwait, Qatar, Bahrain UAE..) and North Africa (like Morogoro, Libya, Egypt, Algeria, Tunis, Moritania..........)
 
Mnaofahamu lugha neno arab maana yake ni nini?tusitoke kwenye mada.....nan atabisha farao wa kwanza walikua weusi?piramid za kwanza kujengwa zilikua sudan(nubia) na si misri?usibishe kwa ushabiki wa dini

Bro naona history inakupiga chenga

Farao sio Mwarabu (Farao na watu wake walikuwa hawaongei kiarabu).
 
mara zote mm naamini original man ni mtu mweusi, nasema hivi kwasababu kila mtoto anapozaliwa anakuwa mweupe, taaratibu anabadirika na kuwa mtu mweusi na wengine wanabaki kuwa weupe. Mm siyo mwanasayansi ila najua watu watakuja na ushahidi wa kisayansi kwa kutumia vitabu na maandiko tofauti, hata tunatakiwa kujiuliza hivyo vitabu vimeandikwa na nani na walioandika hivyo vitabu wanamika kwa kiasi gani, hasa ikizingatiwa kwamba vitabu vingi vya hitoria vimejaribu kupotosha ukweli?

Kuna somo linaitwa demographic history, hivi karibuni (miaka michache nyuma) somo hili limepata nyenzo nyingine ya kisayansi ijulikanayo kama human molecular genetics. Katika genetic studies (utafiti wa vinasaba) kujaribu kubaini uasili wa wazungu wa Uingereza, kwa kushangaza kabisa, ikabainika kuwa Mzungu wa Uingereza ana vinasaba (genes) nyingi zinazomfanya awe karibu sana na watu weusi wa Afrika Magharibi.

Soma zaidi: Genes reveal West African heritage of white Brits - life - 24 January 2007 - New Scientist
 
Mnaofahamu lugha neno arab maana yake ni nini?tusitoke kwenye mada.....nan atabisha farao wa kwanza walikua weusi?piramid za kwanza kujengwa zilikua sudan(nubia) na si misri?usibishe kwa ushabiki wa dini

Sidhani kama kuna kubishana hapa, naona kila mchangiaji humu anatoa na kufyonza ilmu ya mwenzake.
 
Back
Top Bottom