Asante mkuu, baada ya purukushani za muda mrefu, nimemuona nimtu sahihi kabisa, hatimae naisubili siku ifike nikabidhiwe mke wangu.
Mkuu sasa nizaid ya Miaka 5 tupo pamoja, kwa namna alivyo nimeridhia anamapungufu kama binadamu wengine, lakini muhimu zaidi nachopenda kwake anajiheshimu nakupenda Watu, pia nimtu wadini sana, ingawa Mimi ndio nilikua nachangia kumuharibu hasa Katika suala la zinaa.Hatimaye unakaribia kugraduate ukapela...hongera
Sasa mkuu inabidi utoe feedback namna umeona Wakwere vile wapo...
Mkuu kama sio ngomani kwa wanawake basi wataenda kwenye vichenparty,sandoff na vitu vingine kama hivyo ,lamsingi nimeridhia kwa namna alivyo anafaa kua mkewangu wa ndoa.Sasa huko ngomani na kwenye mishemishe wanaotaka kwenda sana kunafanyikaga mambo mengi sana!
Mkuu kama sio ngomani kwa wanawake basi wataenda kwenye vichenparty,sandoff na vitu vingine kama hivyo ,lamsingi nimeridhia kwa namna alivyo anafaa kua mkewangu wa ndoa.
Hao wasioenda ngomani hawatombwi nje?!!
Kutombewa hakuna cha frequency kutombea tu mara moja inakaa kichwani kama kama mvuta bangi pafu moja inakaa miaka 7 hehehehe


Hi mkuu pmike open your pmHuwezi kumzuia mtu kupenda mila yake as long as she does it for good sake, ndoa sio jela bro