RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,734
- 11,461
Wakuu ningependa mnijuze sifa hasa za wanawake wakikwere,maana nahitaji nikate shauri lakuoa binti wa kikwere.
Ningeomba nifahamishwe sifa nzuri na mbaya juu yao, mwisho wa siku niwe na maamuzi sahihi.
Mods naomba msifute uzi wangu,maana uzi wa kwanza mmeufuta bila kuwa na sababu maalumu.
Ningeomba nifahamishwe sifa nzuri na mbaya juu yao, mwisho wa siku niwe na maamuzi sahihi.
Mods naomba msifute uzi wangu,maana uzi wa kwanza mmeufuta bila kuwa na sababu maalumu.
sasa ukipropose akakakwambia ana mtu na soon wanaoana