Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Kunana fomula ya uongozi huku kilimanjaro siku hizi,,,
Kili Marathon+ Kumbukumbu ya Mangi Mrealle + ufisadi= Ubunge
Mdogo wangu Agrey aliipoakuwa tanzania Brewaries alijua weakness za viwanda vyetu,, kuwekeza kwa wanasiasa. Akaanzisha kwa kushurikiana na wadau wengine Kilimanjaro Marathon. Na kusema ukweli hata mzee Ndesa anafaidika na hili. Sasa bwanamdogo agrey anataka kutumia mgongo wa kili marathoni kuibua ubunge. Agrey wewe bado kuwa mbunge,,,bado kabisa!
Huna chochote ulichokifanya ili wanamoshi wakulewe! Huna. Ningekuwa mimi ningechangamana na watu wa moshi na kujua wanataka nini. wanahitaji nini. wewe hijui. Muulize Mama minde na uchaguzi wake wa Ijumaa wiki hii,,, pamoja na yeye kukaa moshi wakti wote huu. Watanzania,,,, wa kweli,,, hawako hivyo,,,,,jipange upya,,, hizo senti zako unazogawa huko moshi,,, zitakutokea puani..... Acheni kucheza mchezo mchafu saa hizi. ningekuwa mimi mchezo huo ningeacha sasa....
Nawasilisha
Kili Marathon+ Kumbukumbu ya Mangi Mrealle + ufisadi= Ubunge
Mdogo wangu Agrey aliipoakuwa tanzania Brewaries alijua weakness za viwanda vyetu,, kuwekeza kwa wanasiasa. Akaanzisha kwa kushurikiana na wadau wengine Kilimanjaro Marathon. Na kusema ukweli hata mzee Ndesa anafaidika na hili. Sasa bwanamdogo agrey anataka kutumia mgongo wa kili marathoni kuibua ubunge. Agrey wewe bado kuwa mbunge,,,bado kabisa!
Huna chochote ulichokifanya ili wanamoshi wakulewe! Huna. Ningekuwa mimi ningechangamana na watu wa moshi na kujua wanataka nini. wanahitaji nini. wewe hijui. Muulize Mama minde na uchaguzi wake wa Ijumaa wiki hii,,, pamoja na yeye kukaa moshi wakti wote huu. Watanzania,,,, wa kweli,,, hawako hivyo,,,,,jipange upya,,, hizo senti zako unazogawa huko moshi,,, zitakutokea puani..... Acheni kucheza mchezo mchafu saa hizi. ningekuwa mimi mchezo huo ningeacha sasa....
Nawasilisha