Ningekuwa Mjumbe Uchaguzi TFF ningepiga HAPANA kwa Rais JAMAL EMILY MALINZI.

Kenge (Eng)

JF-Expert Member
Dec 7, 2006
543
156
Ndugu zangu wana JAMVI.
Moja ya vigezo vya kuteuliwa kugombea nafasi ya urais TFF ni uzoezi wa kuongoza mpira usiopungua miaka 5.

Naomba mniambie huyu MALINZI huo uzoefu aliupata wapi? Uongozi mkubwa ni ngazi ya klabu kama mjumbe!!!

Ni Juzi tu amegombana na viongozi wa Timu ya mkoa wake KAGERA SUGAR walipomtaka ajieleze kwa nini alishindwa kwenda kumuona KOCHA WA UNDER 17 ya KAGERA SUGAR ndugu RAMA aliyepatwa na ajali akiwa na timu njiani kuelekea DAR kwenye mashindani.

Badala yake aliamaka na kusema sio kazi yake na hakuwa na taarifa kwani hawakumpigia simu!!!!

Alienda mbali na kusema viongozi hao wanataka kumchafua katika harakati zake za kugombea URAIS.

Hakuishia hapo aliendelea kusema KAGERA SUGAR hawana shukurani kwani ameisadia timu mamilioni ya PESA!!!!

Wao kupitia vyombo vya habari walisema kuwa ni muongo kwani timu hiyo haijawahi kupata pesa yo yote toka kwa kiongozi yeyote TFF bali wanakumbuka yeye kutoa laki 3 moja kwa moja kwa wachezaji pale uongozi ulipokataa kuzipokea wakishutukia kuwa ataja tangaza kuwa katoa mamilioni na kuleta mtafaruku kwa wachezaji.

Pia alishawahi kutoa pesa ya "maji" lAKI MBILI kwa waamuzi wakati wa moja ya mechi za ligi kuu iliyofanyika KAITABA!!!! mmmh.

Mwisho alitishia kuwa KAGEARA SUGAR wameshikilia makali na KRFF wameshika mpini. Hii ilikuwa na maana gani?

Uongo alikuwa amezoea Yanga wa kusainisha mchezaji kwa fedha kiduchu na kutanga dau kubwa alidhani unaweza kutumika kwa KAGERA SUGAR, haiwezekani kwani timu hii inaendeshwa kwa taratibu za kampuni na haina expenditure za ovyo ovyo i.e. kamati ya ufundi, n.k.

Ref. Radio Kasibante, contact person Mr. Abdulazak (0713 650 076) na Msemaji wa timu ya KAGERA SUGAR Mr. Mohamed Hussein (0784 289 628)

Nasema sina imani na usahili na sina imani na mtu anayeitwa Mr. Deo Lyato.
 
TFF ni vioja vitupu, hao wanaotakiwa wagombee sidhani kama wamefanya la maana kwenye vyama wanavyotoka.
Ngoja tuone lakini...
 
Mimi kwangu naona afadhali Nyamlani kuliko huyu tapeli wa mjini
 
Naomba mniambie huyu MALINZI huo uzoefu aliupata wapi? Uongozi mkubwa ni ngazi ya klabu kama mjumbe!!

Pamoja na kwamba hata mimi sina imani kabisa na kamati ya Deo Lyato lakini kwa suala la uzoefu wa Jamal Malinzi katika kuongoza soka halina shaka hata kidogo.
Jamal Malinzi alipata kuwa Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga miaka kadhaa iliyopita baada ya kuachana na upromota wa ngumi za kulipwa.

Hayo mengine ni siasa zenu chafu tu za Uchaguzi wala hakuna lenye maana. Na sina shaka kwamba viongozi wa Kagera Sugar wana upande wanaouunga mkono ambao ni Athuman Nyamlani kwahiyo sioni ajabu wakijaribu kutupa kila kete wanayoweza ili kumdhoofisha Jamal Malinzi.

Hivi Nyamlani ana nini cha kujivunia alichokifanya kwa ajili ya maendeleo ya soka hapa nchini? To be fair kwa ajili ya mpira wa Tanzania hakuna hata mmoja kati ya Nyamlani na Malinzi nanayestahili kuwa Raisi wa TFF, wote hao ni waganga njaa zao tu, hakuna hata mmoja mwenye vision ya kweli ya kuendeleza mpira wa nchi hii.
 
Pamoja na kwamba hata mimi sina imani kabisa na kamati ya Deo Lyato lakini kwa suala la uzoefu wa Jamal Malinzi katika kuongoza soka halina shaka hata kidogo.
Jamal Malinzi alipata kuwa Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga miaka kadhaa iliyopita baada ya kuachana na upromota wa ngumi za kulipwa.

Hayo mengine ni siasa zenu chafu tu za Uchaguzi wala hakuna lenye maana. Na sina shaka kwamba viongozi wa Kagera Sugar wana upande wanaouunga mkono ambao ni Athuman Nyamlani kwahiyo sioni ajabu wakijaribu kutupa kila kete wanayoweza ili kumdhoofisha Jamal Malinzi.

Hivi Nyamlani ana nini cha kujivunia alichokifanya kwa ajili ya maendeleo ya soka hapa nchini? To be fair kwa ajili ya mpira wa Tanzania hakuna hata mmoja kati ya Nyamlani na Malinzi nanayestahili kuwa Raisi wa TFF, wote hao ni waganga njaa zao tu, hakuna hata mmoja mwenye vision ya kweli ya kuendeleza mpira wa nchi hii.

Sijaongelea Nyamlani kwenye thread hii. Niliongelea maneno ya Malinzi mwenyewe yaliyokuwa ya kitapeli alipoongelea kuipa timu mamilioni ya pesa wakati hajawahi kufanya hivyo.

Kuhusu uzoefu wa kuongoza soka, hakuwahi kuwa na mafanikio na Yanga, aliongoza migogoro na tuelewe ni nini kilichomtoa YANGA.

Anayemjua Nyamlani aongelee mambo yake, mie namjua Malinzi, sio kiongozi kwani KRFF anaiongoza kwa kuwalipa POSHO wajumbe wenzake toka mfukoni mwake na matokeo yake KRFF ni NGO yake.

Badala ya kujaribu kuua na kudilute argument hizi jaribu kucontact hao niliowapa namba zao. Mpira hautaja songa mbele kwa watu wa aina ya Malinzi.

Mungu atuepushe KIKOMBE HIKI (Janga la kisoka)
 
Ndugu zangu wana JAMVI.
Moja ya vigezo vya kuteuliwa kugombea nafasi ya urais TFF ni uzoezi wa kuongoza mpira usiopungua miaka 5.

Naomba mniambie huyu MALINZI huo uzoefu aliupata wapi? Uongozi mkubwa ni ngazi ya klabu kama mjumbe!!!

Ni Juzi tu amegombana na viongozi wa Timu ya mkoa wake KAGERA SUGAR walipomtaka ajieleze kwa nini alishindwa kwenda kumuona KOCHA WA UNDER 17 ya KAGERA SUGAR ndugu RAMA aliyepatwa na ajali akiwa na timu njiani kuelekea DAR kwenye mashindani.

Badala yake aliamaka na kusema sio kazi yake na hakuwa na taarifa kwani hawakumpigia simu!!!!

Alienda mbali na kusema viongozi hao wanataka kumchafua katika harakati zake za kugombea URAIS.

Hakuishia hapo aliendelea kusema KAGERA SUGAR hawana shukurani kwani ameisadia timu mamilioni ya PESA!!!!

Wao kupitia vyombo vya habari walisema kuwa ni muongo kwani timu hiyo haijawahi kupata pesa yo yote toka kwa kiongozi yeyote TFF bali wanakumbuka yeye kutoa laki 3 moja kwa moja kwa wachezaji pale uongozi ulipokataa kuzipokea wakishutukia kuwa ataja tangaza kuwa katoa mamilioni na kuleta mtafaruku kwa wachezaji.

Pia alishawahi kutoa pesa ya "maji" lAKI MBILI kwa waamuzi wakati wa moja ya mechi za ligi kuu iliyofanyika KAITABA!!!! mmmh.

Mwisho alitishia kuwa KAGEARA SUGAR wameshikilia makali na KRFF wameshika mpini. Hii ilikuwa na maana gani?

Uongo alikuwa amezoea Yanga wa kusainisha mchezaji kwa fedha kiduchu na kutanga dau kubwa alidhani unaweza kutumika kwa KAGERA SUGAR, haiwezekani kwani timu hii inaendeshwa kwa taratibu za kampuni na haina expenditure za ovyo ovyo i.e. kamati ya ufundi, n.k.

Ref. Radio Kasibante, contact person Mr. Abdulazak (0713 650 076) na Msemaji wa timu ya KAGERA SUGAR Mr. Mohamed Hussein (0784 289 628)

Nasema sina imani na usahili na sina imani na mtu anayeitwa Mr. Deo Lyato.
Mkuu,opinions are no man's land.
Jf ni uwanja huru wa watu kutoa maoni yao,nakupongeza kwa kutumia uhuru wako,lakini kama unataka kujua nini KRFA imetekeleza toka mimi nichaguliwe mwenyekiti tarehe 17/03/2012 ni PM unipe e mail addres yako nitakutumia summary,inaelekea hujui nini kinaendelea mkoani Kagera kimpira.
Kufaa au kutokufaa kwangu kuongoza TFF hilo litaamuliwa na wapiga kura tarehe 24/02/2013.
Nakushukuru kwa kutoa maoni yako,kwa taarifa yako tu Abdulrazak na Mohamed Husein nafahamiana nao vizuri tu,sina matatizo nao.
Ushauri wa bure: Uchaguzi wa viongozi wa mkoa wa Kagera ulimalizika tarehe 17/03/2013 na against all odds nilishinda nafasi ya Uenyekiti.Tuache siasa za uchaguzi huo tutengeneze mpira wa Kagera.
Ahsante.
 
Mkuu,opinions are no man's land.
Jf ni uwanja huru wa watu kutoa maoni yao,nakupongeza kwa kutumia uhuru wako,lakini kama unataka kujua nini KRFA imetekeleza toka mimi nichaguliwe mwenyekiti tarehe 17/03/2012 ni PM unipe e mail addres yako nitakutumia summary,inaelekea hujui nini kinaendelea mkoani Kagera kimpira.
Kufaa au kutokufaa kwangu kuongoza TFF hilo litaamuliwa na wapiga kura tarehe 24/02/2013.
Nakushukuru kwa kutoa maoni yako,kwa taarifa yako tu Abdulrazak na Mohamed Husein nafahamiana nao vizuri tu,sina matatizo nao.
Ushauri wa bure: Uchaguzi wa viongozi wa mkoa wa Kagera ulimalizika tarehe 17/03/2013 na against all odds nilishinda nafasi ya Uenyekiti.Tuache siasa za uchaguzi huo tutengeneze mpira wa Kagera.
Ahsante.


all the best
 
History will tell.

Keep on waiting, one day you will regret to VOTE this man as President.

"TIMING BOMB"!!!!!

GOD SAVE OUR COUNTRY, SAVE OUR TFF and our Football.

Huyu bwana mwenyekiti wa Federation Wilaya ya Misenyi, Mkoa Kagera, Rais TFF, ndo taratibu!!!
 
: Uchaguzi wa viongozi wa mkoa wa Kagera ulimalizika tarehe 17/03/2013 na against all odds nilishinda nafasi ya Uenyekiti.Tuache siasa za uchaguzi huo tutengeneze mpira wa Kagera.
Ahsante.

Mbona hata tarehe uliyoshinda uchaguzi bado haijafika?
 
Kumbe upo umu haya mwenzetu tuambie kilichokusukuma kugombea au unataka kuwa mbunge.[/QUOT

Ni vema na haki afanye hivyo ila sijui kama ataweza kufanya hivyo kwa sasa kwani pingamizi limembana mbavu.

Huyu na RAGE ni wale wale!!!!

Uongozi wake utakuwa wa ubabaishaji kama uongozi wa timu yake anayosema ilimpa uzoefu wa soka. Ameongoza timu iliyokuwa na account bank (non-operational), wachezaji wenye mikataba zaidi ya mmoja, dhuruma na hila.

Uzoefu huo hauwezi kufanya kazi TFF.

Sawa ndiye aliyejitokeza na ni haki yake ila wapenda maendeleo ya SOKA waone JANGA ili linalotukabili.

VOTE "NO" TO HIM TO SAVE OUR SOCCER!!!!
 
ndugu zangu wana jamvi.
Moja ya vigezo vya kuteuliwa kugombea nafasi ya urais tff ni uzoezi wa kuongoza mpira usiopungua miaka 5.

Naomba mniambie huyu malinzi huo uzoefu aliupata wapi? Uongozi mkubwa ni ngazi ya klabu kama mjumbe!!!

Ni juzi tu amegombana na viongozi wa timu ya mkoa wake kagera sugar walipomtaka ajieleze kwa nini alishindwa kwenda kumuona kocha wa under 17 ya kagera sugar ndugu rama aliyepatwa na ajali akiwa na timu njiani kuelekea dar kwenye mashindani.

Badala yake aliamaka na kusema sio kazi yake na hakuwa na taarifa kwani hawakumpigia simu!!!!

Alienda mbali na kusema viongozi hao wanataka kumchafua katika harakati zake za kugombea urais.

Hakuishia hapo aliendelea kusema kagera sugar hawana shukurani kwani ameisadia timu mamilioni ya pesa!!!!

Wao kupitia vyombo vya habari walisema kuwa ni muongo kwani timu hiyo haijawahi kupata pesa yo yote toka kwa kiongozi yeyote tff bali wanakumbuka yeye kutoa laki 3 moja kwa moja kwa wachezaji pale uongozi ulipokataa kuzipokea wakishutukia kuwa ataja tangaza kuwa katoa mamilioni na kuleta mtafaruku kwa wachezaji.

Pia alishawahi kutoa pesa ya "maji" laki mbili kwa waamuzi wakati wa moja ya mechi za ligi kuu iliyofanyika kaitaba!!!! Mmmh.

Mwisho alitishia kuwa kageara sugar wameshikilia makali na krff wameshika mpini. Hii ilikuwa na maana gani?

Uongo alikuwa amezoea yanga wa kusainisha mchezaji kwa fedha kiduchu na kutanga dau kubwa alidhani unaweza kutumika kwa kagera sugar, haiwezekani kwani timu hii inaendeshwa kwa taratibu za kampuni na haina expenditure za ovyo ovyo i.e. Kamati ya ufundi, n.k.

Ref. Radio kasibante, contact person mr. Abdulazak (0713 650 076) na msemaji wa timu ya kagera sugar mr. Mohamed hussein (0784 289 628)

nasema sina imani na usahili na sina imani na mtu anayeitwa mr. Deo lyato.

mbona huja hoji na uzoefu wa manji.....?
 
Back
Top Bottom