Yaaap! samahani lakini!:bila shaka tunaenda sawa:
lait kama ningelikuwa ALLY KIBA "ninge"
# ningeua nyani huku namuangalia usoni, yani ningevunjavunja uongozi wangu wote na kuunda safu mpya au kufanya kazi mwenyewe.
muundo wa uongozi
-afisa masoko
-time manager
-mtu wa mavazi
-mshauri na wengineo
# ningeupa mwili wangu thamani ya sauti yangu. ningeuvalisha vzr, ningeupa mda wa kupumzika ningejifunza zaidi kwa waliofanikiwa duniani.
# ningepiga collabo la faster na mcongo man (fallpupa) kwa kua ananikubari ili kujizolea mashabiki wake.
# ningeacha kuteas kitu ambacho hakijakamilika au kinachotarajia kufanyika miezi ijayo.
# ningehama kunduchi nakuhamia bunju.(usiulize kwanini)
# ningevunja sijui team A mara team B yani ningekua neutral ili yoyote apendae kazi zangu anisaport.
# nisingetangaza kufanya shoo za live bali ningefanya kama saprise.
# ningempa director chipukiz wa bongo kushoot cheketua.
#ningeoa .
tuendelee wadau kesho tunaamia kwa FID Q kimtazamo tu! au niendelee!
endeleaaaaaa!.