Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Ndio ujue sasa Kiba alivyokua juu huku leo hatupumi nyuzi za Kiba zimejazana kibao.
Hivi hawamuoni huyo aliyetoa video juzijuzi?
Yani hawa wametumwa wakidhani wana mharibia Kiba kua si kitu kumbe ndo wanazidi kumpaisha.
Mtu wao katoa video mbili baada ya kuona watu hawa mind ndo wameanza kumwandama Ali kiba. Tatizo timu mond wana fight wrong battle aisee wamwache Kiba afanye yake. Kiba anakitu cha zaidi ndo mana wanamwandama.