Ningekuwa Ally Kiba

Ningekuwa Ally Kiba

Jackmedia

Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
81
Reaction score
26
Yaaap! samahani lakini! Bila shaka tunaenda sawa. Laiti kama ningelikuwa Ally Kiba, ningefanya yafuatayo;

- Ningeua nyani huku namuangalia usoni. Yaani ningevunja vunja uongozi wangu wote na kuunda safu mpya au kufanya kazi mwenyewe.

Muundo wa uongozi:
- Afisa Masoko
- Time manager
- Mtu wa mavazi
- Mshauri na wengineo

- Ningeupa mwili wangu thamani ya sauti yangu. Ningeuvalisha vizuri, ningeupa mda wa kupumzika, ningejifunza zaidi kwa waliofanikiwa duniani.

- Ningepiga collabo la faster na mcongo man (Fally Ipupa) kwa kua ananikubali ili kujizolea mashabiki wake.

- Ningeacha kuteas kitu ambacho hakijakamilika au kinachotarajia kufanyika miezi ijayo.

- Ningehama kunduchi nakuhamia bunju.(usiulize kwanini)

- Ningevunja sijui team A mara team B yani ningekua neutral ili yoyote apendae kazi zangu anisaport.

- Nisingetangaza kufanya shoo za live bali ningefanya kama saprise.

- Ningempa director chipukizi wa Bongo kushoot cheketua.

- Ningeoa

Tuendelee wadau, kesho tunaamia kwa FID Q kimtazamo tu!

Au niendelee..?
 
Hujajua mkuu...wala tatizo sio management wala sijui team upuuzi

TATIZO NI NYOTAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

TATIZO UWEZOOO KAKA
 
Mleta mada acha upuuzi kiba ndiyo kila kitu chetu, huo mshauri mpelekee yule jirani yetu mwenye fitna anayebebwa na Godfather kwenye video zake, ebooo
 
Kama wewe ungekuwa ni ally kiba ungefanyaje wakati kama huu!!?
 
Leo mumetumwa kwa Kiba nini mana vinyuzi vingi visivo na kichwa wala miguu vimezidi humu. Mtajibeba kiba atabaki kuwa Kiba tu nyie hangaikeni Mpaka mchoke
 
Mleta mada acha upuuzi kiba ndiyo kila kitu chetu, huo mshauri mpelekee yule jirani yetu mwenye fitna anayebebwa na Godfather kwenye video zake, ebooo

mi ndio kiba ongea na mimi shardcole::
lakini hata kichupa cha mwa kanishoot Godfather sema ilikua faster coz mashabiki walidai thana.
 
Leo mumetumwa kwa Kiba nini mana vinyuzi vingi visivo na kichwa wala miguu vimezidi humu. Mtajibeba kiba atabaki kuwa Kiba tu nyie hangaikeni Mpaka mchoke

Ndio ujue sasa Kiba alivyokua juu huku leo hatupumi nyuzi za Kiba zimejazana kibao.
Hivi hawamuoni huyo aliyetoa video juzijuzi?
 
Huyo kiba mwenyewe katulia kimya, kwanza unaijua management ya kiba au?
 
Rockstar entertainment nasikia ni wazungu ndo wenye hii company inayo mmanage kiba"
 
Back
Top Bottom