nimetokea kumpenda msichana mmoja nasoma nae mwaka mmoja but kila nikimueleza bout hili anapenda tuwe marafiki tu jaman naomba ushauri kuhusu hili for real nampenda sana.
xaxa xi uheshim maamuzi yake
mtu akikukataa basi anaringa
Kucut liwer ni noumer xaner.xaxa xi uheshim maamuzi yake
mtu akikukataa basi anaringa
hahahah mkuu hii hatari..nimeisoma kwa sauti nikajikuta nachekaKucut liwer ni noumer xaner.
mkuu kwanini umeweka X badala ya S???nimetokea kumpenda msichana mmoja nasoma nae mwaka mmoja but kila nikimueleza bout hili anapenda tuwe marafiki tu jaman naomba ushauri kuhusu hili for real nampenda sana.
Kucut liwer ni noumer xaner.
xaxa xi uheshim maamuzi yake
mtu akikukataa basi anaringa
mkuu kwanini umeweka X badala ya S???
kifesibuku fesi buku. Uandishi wa namna hiyo unaniudhi sana sana aisee.
Mwanamke makini kwa uandishi huu lazima akatae. Hayuko serious kwenye maandishi atakuwaje serious kwenye uhusiano?Kifesibuku fesi buku. uandishi wa namna hiyo unaniudhi sana sana aisee.
nimetokea kumpenda msichana mmoja nasoma nae mwaka mmoja but kila nikimueleza bout hili anapenda tuwe marafiki tu jaman naomba ushauri kuhusu hili for real nampenda sana.
Hata mim ameniudhi.masharobaro banaNingekushauri lakini umeniudhi kuandika x badala ya s.