ninayempenda. anaringa xana.

ninayempenda. anaringa xana.

Status
Not open for further replies.
Soma dogo acha kuwaza ngono. Huyo dada yupo sahihi anajua alichokwenda kutafuta chuo pia anaelewa process za uhusiano.
 
Wakuu nachukua nafasi hii kumuombea msamaha kwa kuandika x badala ya s.Nawaombeni mumsamehe then mshaurini kijana mwenzangu hatarudia tena.
 
Hahahha,nmechekajee...wanaume wa kweli em mwambien huyu mwanamke atakukubalije fasta hvoo??
 
Pole sana. kuna njia nyingi za kumfanya mwanamke akupende. kwanza unatakiwa kufahamu tabia yake vizuri, yaan vitu gani anapendelea na vitu gani hapendelei. mfano kama anapenda mwanaume mcheshi bac kuwa mcheshi, km anapenda mwanaume asiekua na urafiki na wanawake wengi bac acha kupiga story na mademu wengine na uwe serious kidogo, km ni mtu anependa sn masomo basi hakikisha class unakua wakwanza au gpa kubwa, km ni mtu anaependa dini na ni wa kanisa basi anza kuzama sala, km anapeda mtu smart basi badili muonekano wa kimavazi zaidi, vaa vizuri, hlf jitambue, ushauri wangu mkubwa we kubali kuwa rafiki yake hlf kuwa rafiki wa dhati, yaan usimuoneshe wivu, unapopiga nae story mdokoze mfano mwambie kuna jamaa mmoja anakupenda hua anakuoongelea ongelea yaan asione unamtaka sana, yaan muoneshe unaweza kuwa na mtu mwngne, hapo hapo mweke karibbu, kwenye shida zake kuwepo karibu, inshort mpe romance japo mwezi mmoja hlf jikatae utaona anakufata mwenyewe, romance namaanisha good tyms, unaweza kutoka nae out hlf huko out usiwe boaring, yaan have fun, iteke ile furaha yake ili anapokukosa siku moja uwepo akilini mwake, ukifanikiwa hapo basi umefanikiwa kumpata, hii tunaita mbinu ya kufosi kingi. Kila la heri
 
nimetokea kumpenda msichana mmoja nasoma nae mwaka mmoja but kila nikimueleza bout hili anapenda tuwe marafiki tu jaman naomba ushauri kuhusu hili for real nampenda sana.

Atafutaye hachoki akichoka amepata. Kwani una ukame sana mkuu? endelea kubembeleza. Ukivumilia mbele kweupe.
 
Mtu akikukataa unategemea ushauriwe nini hasa?
Muendee kwa kalumanzilaaaa
 
Mtu akikukataa unategemea ushauriwe nini hasa?
Muendee kwa kalumanzilaaaa na uhakikishe unaenda na chozi la samaki heee...
 
Soma mbwa wewe hapo umefuata mapenzi au ngono?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom