mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
- Thread starter
-
- #81
Na ndicho nilichofanya, nashangaa mifisi yenye uchu inanitusi, wanatamani wangekuwa mimiNa nyongeza zaidi, mthibitishie kuwa, ye kuwa mzuri haimaanishi anaweza mbambaisha mwanamme yeyote mbele yake.
Na ndicho nilichofanya!.Eeeeeh mkazie hapo hapo, hata kama sukari asijikute mtamu kwa kila mtu
Kweli wanaume hakuna siku hizi, unatishikaje hivyoHuyu ni binti ambaye alikuja kwangu kwa gia kama ya dada. Ni mfanyakazi mwenzangu. Kiukweli ni binti mzuri tu Manka wa huko kaskazini. Sasa mimi nilimchana kuwa sijamuelewa so sitaki kumchezea
Ikawa nimetangaza uadui yani ananichukia na sijui sababu, na nina mashaka anaweza nitumia hata majambazi. Chuki yake kwangu ni kubwa sana, ameahidi kuniharibia, salamu hajibu na kanichunia. Anayeneza sumu mpaka kwa mabosi, uzuri ni waelewa.
Nilimkataa kwa sababu huyu binti ana dharau na mjuaji sana, aliwahi kumkataa kwa madaha jamaa yangu aliyejitosa kumtongoza, tena kwa heshima mno.
Nilichoumia sana ni kuwa jamaa yangu ni mtu mstaarabu sana, ni nice guy mzuri mno sasa kwa nini ajibiwe kwa dharau wakati hakustahili?
Na sio huyo tu, ni tabia zake kwa karibu kila mwanaume anayejitosa kumtongoza. Anajiamini sana for nothing
Napambana naye vipi huyu?
Anakufanyiq vitimbwi mkuu kwa sababu aliku-target wewe, ukafanya ustarabu, huyo rafiki yako aliyekataliwa hakupendwa bali ulipendwa wewe. Sasa ungemrambisha koni angekuheshimu.Unaongea kwasababu huelewi vitimbwi anavyonifanyia, ni hatari.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Neno sijakupenda ndio limemuuma sana. Sasa tengeneza mazingira tu umle yaishe.Mimi sikumkataa kwa dharau, nilimkataa kistaarabu mno. Nikamuambia wewe ni mzuri ila sijakupenda. Short and clear
Mwamba mpelekee moto usije ukapotea na watu wasiojulikana.Usiseme hivyo, mpaka kwa mabosi ameshaanza kuharibu, ukizingatia ni mkubwa wangu kwa cheo. Pia ni mtoto wa mtu mzito sana nchi hii, hii nimekuja kutonywa hivi karibuni na rafiki yake na akataka iwe siri, kifupi wote ni mboga 7
Kwamba jamaa yako NI MZURI MNO! haya mambo mbona ni ya kikubwa sana!?jamaa yangu ni mtu mstaarabu sana, ni nice guy mzuri mno s
Na ndicho nilichofanya, nashangaa mifisi yenye uchu inanitusi, wanatamani wangekuwa mimiduuuh aisee watu wana dhiki za k kinoma
Wewe umemkataa baada ya kula mbususu yake? Au yeye ndo amekutongoza na ukamkataa juu kwa juu means hujammega? Explain briefly boss.Huyu ni binti ambaye alikuja kwangu kwa gia kama ya dada. Ni mfanyakazi mwenzangu. Kiukweli ni binti mzuri tu Manka wa huko kaskazini. Sasa mimi nilimchana kuwa sijamuelewa so sitaki kumchezea
Ikawa nimetangaza uadui yani ananichukia na sijui sababu, na nina mashaka anaweza nitumia hata majambazi. Chuki yake kwangu ni kubwa sana, ameahidi kuniharibia, salamu hajibu na kanichunia. Anayeneza sumu mpaka kwa mabosi, uzuri ni waelewa.
Nilimkataa kwa sababu huyu binti ana dharau na mjuaji sana, aliwahi kumkataa kwa madaha jamaa yangu aliyejitosa kumtongoza, tena kwa heshima mno.
Nilichoumia sana ni kuwa jamaa yangu ni mtu mstaarabu sana, ni nice guy mzuri mno sasa kwa nini ajibiwe kwa dharau wakati hakustahili?
Na sio huyo tu, ni tabia zake kwa karibu kila mwanaume anayejitosa kumtongoza. Anajiamini sana for nothing
Napambana naye vipi huyu?
Nimlambishe akiniuma je?Anakufanyiq vitimbwi mkuu kwa sababu aliku-target wewe, ukafanya ustarabu, huyo rafiki yako aliyekataliwa hakupendwa bali ulipendwa wewe. Sasa ungemrambisha koni angekuheshimu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Not that simpleMbona mambo madogo sana hayo mkuu?
Imagine ungekuwa Zelenskyy kule Ukraine.
Sitaki kumlaNeno sijakupenda ndio limemuuma sana. Sasa tengeneza mazingira tu umle yaishe.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
I dont care mzeeMwamba mpelekee moto usije ukapotea na watu wasiojulikana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
SijammegaWewe umemkataa baada ya kula mbususu yake? Au yeye ndo amekutongoza na ukamkataa juu kwa juu means hujammega? Explain briefly boss.
Ananipa wasiwasi mtoa mada
Jamaa katuangusha.Hahahahaha umeona eeh
Yaan mwanaume unataka kupewa mbususu unaanza kusema siitaki kisa jamaa angu nice guy kakataliwa
Is he okay upstairs au dudu la yuyuu ina shekeli kidogo