mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
- Thread starter
-
- #61
Mimi sikumkataa kwa dharau, nilimkataa kistaarabu mno. Nikamuambia wewe ni mzuri ila sijakupenda. Short and clearKwahio nani anastahili DHARAU?,
Je ?, kama na wewe ulimkataa kwa DHARAU ndio maana anakuwinda alipe kiasi kama wewe ulivyomlipia kiasi Rafiki yako.
Wacha Mapambano yaendelee.
Ukute anakutishia tu na hana lolote baya atakufanyia.Mimi sikumkataa kwa dharau, nilimkataa kistaarabu mno. Nikamuambia wewe ni mzuri ila sijakupenda. Short and clear
Nimeshajiandaa kwa hiloSure,kabla hujapandisha uzi wako humu,unatakiwa kujiandaa kisaikolojia.....
Usiseme hivyo, mpaka kwa mabosi ameshaanza kuharibu, ukizingatia ni mkubwa wangu kwa cheo. Pia ni mtoto wa mtu mzito sana nchi hii, hii nimekuja kutonywa hivi karibuni na rafiki yake na akataka iwe siri, kifupi wote ni mboga 7Ukute anakutishia tu na hana lolote baya atakufanyia.
KumbeUsiseme hivyo, mpaka kwa mabosi ameshaanza kuharibu, ukizingatia ni mkubwa wangu kwa cheo. Pia ni mtoto wa mtu mzito sana nchi hii.
NashukuruKumbebasi ni mshamba mapenzi hayalazimishwi wanaume wapo kibao ni kwamba hawaoni...aisee pole sana
Hajawahi kuwa rejected, so haamini na kujiona mzuri, mkazie hapo hapo.Huyu ni binti ambaye alikuja kwangu kwa gia kama ya dada. Ni mfanyakazi mwenzangu.
Kiukweli ni binti mzuri tu Manka wa huko kaskazini. Sasa mimi nilimchana kuwa sijamuelewa so sitaki kumchezea
Ikawa nimetangaza uadui yani ananichukia na sijui sababu, na nina mashaka anaweza nitumia hata majambazi.
Chuki yake kwangu ni kubwa sana, ameahidi kuniharibia, salamu hajibu na kanichunia. Anaeneza sumu mpaka kwa mabosi, uzuri ni waelewa.
Nilimkataa kwa sababu huyu binti ana dharau na mjuaji sana, aliwahi kumkataa kwa madaha jamaa yangu aliyejitosa kumtongoza, tena kwa heshima mno.
Nilichoumia sana ni kuwa jamaa yangu ni mtu mstaarabu sana, ni nice guy mzuri mno sasa kwa nini ajibiwe kwa dharau wakati hakustahili?
Na sio huyo tu, ni tabia zake kwa karibu kila mwanaume anayejitosa kumtongoza. Anajiamini sana for nothing
Napambana naye vipi huyu?
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
We huoni kama hiyo sio DHARAU, Kama mzuri kwanini hujampenda?.Mimi sikumkataa kwa dharau, nilimkataa kistaarabu mno. Nikamuambia wewe ni mzuri ila sijakupenda. Short and clear
Wewe huyooo??Believe whatever you want, you are free. Huwa sizoi zoi tu wanawake hovyo, na sina njaa za k to that extent. I choose.!
Mwamba ukisha mnyonyeaha mkuyenge dharau kushne awafanyie wengine.Ni kweli mkuu, ila mimi ke mwenye dharau sipatani naye hata akiwa mtoto wa SSH i dont care yaani
Na nyongeza zaidi, mthibitishie kuwa, ye kuwa mzuri haimaanishi anaweza mbambaisha mwanamme yeyote mbele yake.Japo kuna watu wamekutusi na wataendelea fanya hivyo, mie kwa upande wangu nakupa heko, mdada akishaonesha dharau kwa mtu yeyote mbaya zaidi huyo mtu nijuee ni mstaarabu basi akarage bao, Kutongozwa sio issue kama hakumuelewa jamaa angekataa kiustarabu kama mtu mzima.
Achana na hizi pimbi zinazokuita we mvulana
Eeeeeh mkazie hapo hapo, hata kama sukari asijikute mtamu kwa kila mtuNimeshangaa sana mkuu, mimi mwenye dharau ni sumu kubwa kwangu, hata kama hajanifanyia mimi. Kifupi sina dhiki za hovyo hovyo za k, nachagua kwa vigezo vyangu maalumu
Huyo.... ungempeleka loji ya mbali..... chezea sana.... unajua kumchezea.... chezea sana kisha unamtuma kuoga.... huku nyuma unasepa na viwalo vyake vyote,,,, unamwachia simu tu....
Sawa nimekuelewaHajawahi kuwa rejected, so haamini na kujiona mzuri, mkazie hapo hapo.
Sio dharau kabisa ukilinganisha na alivyosema yeye kwa jamaa yangu na wengine. So kwa hapo ni kama hoja yako haina nguvu.We huoni kama hiyo sio DHARAU, Kama mzuri kwanini hujampenda?.
Ni kheri ungemwambia tu sijakupenda kuliko kumsifia halafu unamtosa.
Yeah its me.Wewe huyooo??
Hilo nililifikiria mkuuMwamba ukisha mnyonyeaha mkuyenge dharau kushne awafanyie wengine.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hapana sio mbwembwe. Ndio uhalisia huoWanaume wa jf kwa mbwembwe