Ninawamisi wapwa zangu, niko hoi natibiwa

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,358
Wapwa zangu na mabinamu,

Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.

Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.

Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.

Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!

Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?

Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.

Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:
 
Wapwa zangu na mabinamu,

Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.

Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.

Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.

Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!

Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?

Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.

Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:
infidelity ni sehemu ya tiba!
infact INFIDELITY NI TIBA YA KITABIBU!....

long live infidelity!
nb:nipo kwenye semina za uzinduzi wa kampeni za chadema nimeshindwa kujizuia imebidi nipost tu!tunaendelea na mchakato huku...!SLAA FOR PRESIDENCY-2010
 
hahahahaha Asprin yaani nimejikuta naangua kicheko
Pole sana get well soon :becky:
 
Wapwa zangu na mabinamu,

Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.

Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.

Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.

Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!

Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?

Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.

Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:

Aisee nipe na mimi location ya hospital once nikiugua na mimi nitademand nilazwe hapo kama mambo yenyewe ndiyo hayo au ndio physiotherapist available upon request
 
Wapwa zangu na mabinamu,

.......... Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!

Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?

Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.

Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:

Mdogo wangu hujatulia......Nakushauri uzingatie masharti na maadili ya mpokea huduma, usipunguze wala kuongeza!!! Nina hofu unataka kufanya wafanyayo baadhi ya wanaune wakienda baa, wanapewa huduma ya vinywaji, halafu tena wakati wa kuondoka, wanaondoka na watoa huduma kwenda nao kwenda kupata/kutoa huduma zingine!!
 
Aisee nipe na mimi location ya hospital once nikiugua na mimi nitademand nilazwe hapo kama mambo yenyewe ndiyo hayo au ndio physiotherapist available upon request

Hahahahahaha!! Omba Mungu usiugue ndugu yangu.....!:confused2::confused2::confused2:
 
Aspin tafadhali toa location ya hospital kwani baada ya kusoma andiko lako nahisi kuanza kuumwa umwa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
pole kaka asprin,roho mtakatifu na akuongoze huko uliko!
Ahsante dada yangu Cheusi........

Hiyo avatar yako inawezekana ikawa na uhusiano na physiotherapist wangu asee!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Mdogo wangu hujatulia......Nakushauri uzingatie masharti na maadili ya mpokea huduma, usipunguze wala kuongeza!!! Nina hofu unataka kufanya wafanyayo baadhi ya wanaune wakienda baa, wanapewa huduma ya vinywaji, halafu tena wakati wa kuondoka, wanaondoka na watoa huduma kwenda nao kwenda kupata/kutoa huduma zingine!!

Nimetulia dada yangu na masharti nazingatia......ila jamani kwanini Mungu wakati mwingine anaamua kuumba kwa makusudi namna hii?:confused2::confused2:
 
Aisee kama unaona UTAMU namna hiyo. nielekeze nami nifanyeje niweze kutengua kuino halkafu nimpate huyo mtabibu mcheshi wa vitendo.

Pole sana kwa kuugua na hongera kwa kujifanya kuumwa ingawa umepona
 
Aspin tafadhali toa location ya hospital kwani baada ya kusoma andiko lako nahisi kuanza kuumwa umwa

Hahahahahaha! Kiongozi mi ntakuombea usiumwe bana! Kuumwa si kitu kizuri.....Hasa kiuno.:welcome::welcome:
 
Pole mkurugenzi kwa hiyo asprin haikufua dafu si mchezo pole yako valuu zinakumisso
 
Aisee kama unaona UTAMU namna hiyo. nielekeze nami nifanyeje niweze kutengua kuino halkafu nimpate huyo mtabibu mcheshi wa vitendo.

Pole sana kwa kuugua na hongera kwa kujifanya kuumwa ingawa umepona

Hahahahahah! Mi bana nawaombeeni msiugue jamani. Kutenguka kiuno si jambo jema.......:welcome::welcome:
 
Hahahahahaha! Kiongozi mi ntakuombea usiumwe bana! Kuumwa si kitu kizuri.....Hasa kiuno.:welcome::welcome:

Mkuu wangu kama ni kiuno hapana kabisa najua hata heshima ya ndoa inabidi iende likizo.
 
Pole mkurugenzi kwa hiyo asprin haikufua dafu si mchezo pole yako valuu zinakumisso
Ahsante kamanda.....

Asprin haikufua dafu.... kuna mikono mingine ina nguvu kuliko asprin. mpwa tukutuku likileta za kuleta nstue. Kizuri kula na nduguyo.
 
Umenitamanisha ngoja na mimi weekend hii nijitegue kiuno:becky: Hepu nipm hiyo number ya physiotherapist hommie!!
 
Back
Top Bottom