jasmin abdulrahman
Member
- Apr 7, 2012
- 32
- 5
Naomba ushauri wenu wana jf. Niko na mchumba sina muda nae sana ninamiezi nae mi3, huyu mchumba aliniforce sana kuleta barua kwe2 nikamkubalia, sasa ninasikia v2ko vyake vngi nimeckia alikuwa na mwanamke kampa mimba hlo me hajanambia kuja kumuuliza kakubali ila kasema walishaachana kuhusu mimba hajui, nilimkataza kucheza kamali lakini anacheza kwa kujificha kadiriki ku2mia hadi pesa za kazini kwao laki7 kuchezea kamali na kaliwa zote hana sh. Mfukoni. Je huyu mwanaume anafaa kweli na leo nimepata taarifa zake kutoka kwa wasichana aliokuwa karibu nao wanasema ni kiwembe. Nishaurini mwenzenu nataka nimwambie aje achukue barua yake