Ninavyoishi mimi na mke wangu

Ninavyoishi mimi na mke wangu

Hahahaa tena RIP in advance maana hapo akirudi sa nane mke anamtext mchepuko wake "ndo limerudi hny" mchepuko nae anajibu "mkaushie baby take it easy,can't wait to see u later" wajinga ndo waliwao
Kuna mambo ya kufanya ya kijinga sana kwa sababu ndio ujinga wenyewe.... Mtu mzima na akili zake anafurahia kuishi maisha ya kima au nyani....Anajiona mjaanja, kumbe mengine ni kuwaza tu kistaarabu....Watu wamelala wewe unaparagana na njia saa 6, 8 hiyo ni laana na amelaaniwa. Ameniharibia siku kwa kweli.
 
Hahahaha jamani nyie viumbe hamueleweki mwee. Jana tu mmetoka kutuwashia Tuache tabia ya kuwakaripia. Sasa leo mmeanza tena kupenda kukaripiwa au? Kwa kweli sisi tutafata tu mdundo utakavyoenda

C.c atoto, Evelyn Salt, mkabasia

Gelofriend haya mamboz hayana formula, unadance according to the tune.....mambo yanakua sawa sawia, panapohitaji love show it, kwenye kukalipia do it, kama ikibidi pia kumgonga mwiko wa kichwa do it pia ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Ukiona unamfanyia mpenzi/mke wako vibaya ila hanuni,haulizi wala hakasiriki yeye ana furaha tu mda wote jua tu kuna mjanja anakusaidia kazi, sisi wanawake ni very sensitive tunapenda sana kujaliwa na attention kwa ujumla, sasa wewe endelea kurudi sa nane tena anafurahi maana anapata mda wa kuspend time na mchepuko wake bila bugudha

Alafu wife kukonda hakondi na anafuraha always. Someone is making her heart miss a beat and it ain't you.
 
Gelofriend haya mamboz hayana formula, unadance according to the tune.....mambo yanakua sawa sawia, panapohitaji love show it, kwenye kukalipia do it, kama ikibidi pia kumgonga mwiko wa kichwa do it pia ha ha ha

Dada yangu Nkima unanishangaza. Hivi siku hizi kuna unyago kijijini Kanda ya ziwa?!!
Maana siku hizi unavyotiririka kama Msukuma wa Tanga hakyanani.
 
Dada yangu Nkima unanishangaza. Hivi siku hizi kuna unyago kijijini Kanda ya ziwa?!!
Maana siku hizi unavyotiririka kama Msukuma wa Tanga hakyanani.

Wanasemaga mapenzi yalifia usukumani, tumeamua kuyafufua ha ha ha watanga watajimuder
 
Ukiona unamfanyia mpenzi/mke wako vibaya ila hanuni,haulizi wala hakasiriki yeye ana furaha tu mda wote jua tu kuna mjanja anakusaidia kazi, sisi wanawake ni very sensitive tunapenda sana kujaliwa na attention kwa ujumla, sasa wewe endelea kurudi sa nane tena anafurahi maana anapata mda wa kuspend time na mchepuko wake bila bugudha

Hahahaa tena RIP in advance maana hapo akirudi sa nane mke anamtext mchepuko wake "ndo limerudi hny" mchepuko nae anajibu "mkaushie baby take it easy,can't wait to see u later" wajinga ndo waliwao

Shhhhhhhh purple purple......
Unavujisha siri ya kambi, waache usiwashtue ha ha ha ha
 
Umesahau mengi mume wangu: bila mnuno nakuvua viatu na soksi nakupeleka bafuni km kawaida nikusugue mgongoni. Niloweke boxer ns soks. Nihakikishe umepata juisi bariiiidi kusafisha mind. Nikuongoze chumbani. Asbh nifue boxer na soksi nikupatie kinywaji ukiwa bado kitandani. Nakuacha umepumzika mie naacha maagizo ya supu upatiwe ukitoka room. Good day my hubby. MNAPENDA KUDEKAAAAA
 
Kimsingi mkeo hana shida hata ukilala nje wiki nzima...
mradi yeye anajua wapi moyo wake unatulizwa...

Yaani una aakili wewe,Ulichosema ndo kinachofanyika. Nitafute for one for the road si unajua leo ni ijumaa........

You know where to find me..............................
 
Yaani una aakili wewe,Ulichosema ndo kinachofanyika. Nitafute for one for the road si unajua leo ni ijumaa........

You know where to find me..............................

Hahahahaaa na mm naomba nijoin humo kwny kuanza weekend!
 
Karibuuu halafu nimekumisiii...............

Uko wapii................ leo jioni.... nicheki

Sawaaa leo natamani kuwepo maeneo fulani ya Great wall au Geoges &Dragon huko kwa wenyewe!
 
Huyo mke alishakuchoka sana na tabia zako na huenda yupo anayemliwaza. wewe endelea tu na tabia yako hiyo ipo siku utalia
 
Back
Top Bottom