Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,562
Kuna mambo ya kufanya ya kijinga sana kwa sababu ndio ujinga wenyewe.... Mtu mzima na akili zake anafurahia kuishi maisha ya kima au nyani....Anajiona mjaanja, kumbe mengine ni kuwaza tu kistaarabu....Watu wamelala wewe unaparagana na njia saa 6, 8 hiyo ni laana na amelaaniwa. Ameniharibia siku kwa kweli.Hahahaa tena RIP in advance maana hapo akirudi sa nane mke anamtext mchepuko wake "ndo limerudi hny" mchepuko nae anajibu "mkaushie baby take it easy,can't wait to see u later" wajinga ndo waliwao