Ninavyoishi mimi na mke wangu

Ninavyoishi mimi na mke wangu

mchepuko

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,192
Reaction score
1,418
Namuona mke namtoto wangu wamelala, mke hana noma nimempigia amepokea na amenifungulia Geti muda huu Saa 6 usiku.good enough kaniandalia msosi na maji ya kuoga na hakuna mnuno ananiuliza vi[i umesikia habari za Banadarini Leo?...hahaa...

Ameshanipigia pasi nguo za kesho na anajua kesho nitarudi Saa 8 usiku Jumamosi asubuhi ataacha maagizo kwa Dada aniandalie mchemsho wa samaki asubuhi, dont forget atawatoa kwenye friji wayeyuke na atapiga sim saa nne asubuhi kunijulia hali no mnuno!

Kikubwa jamani tuheshimiane na kupendana ata simu izi tuache kupekuana, sisi huwa wala hatushiki simu za mwenzie, but uwe na adabu ikipigwa ongea apo apo.
 
Anakupenda hayo madogo......mie mwenzako nasonga ugali saa 8 usiku..hapa najua linalewa huko....likija fasta nalisongea ugali......
Na tuitwe tu wanawake silipigii simu wala msg maana hapa ni kwake litazurura litarudi tu home.......
 
ID yako tu.....wewe ndiye mchepuko au unahusudu mchepuko?
 
Kimsingi mkeo hana shida hata ukilala nje wiki nzima...
mradi yeye anajua wapi moyo wake unatulizwa...

sina haja na kuyajua ayo....provided muda sahihi Yupo hom na hatudharauliani am okeey....
 
Anakupenda hayo madogo......mie mwenzako nasonga ugali saa 8 usiku..hapa najua linalewa huko....likija fasta nalisongea ugali......
Na tuitwe tu wanawake silipigii simu wala msg maana hapa ni kwake litazurura litarudi tu home.......

Hahaha ww ni mwanamke mjanja..muombee mumeo
 
Namuona wife na Beb wangu wamelala...wife hana noma nimempigia amepokea na amenifungulia Geti muda huu SAA 6 ucku

good enough kaniandalia msosi na maji ya kuoga na hakuna mnuno...ananiuliza VP umefikia habar za Banadarini Leo?...hahaa
ameshanipigia pasi nguo za kesho na anajua kesho nitarud SAA 8 ucku...jumamos asubuh ataacha maagizo kwa Dada aniandalie mchemsho wa samaki asubuh...DON forget atawatoa kwenye frij wayeyuke na atapiga sim SAA NNE asubuh kunijulia hali....no mnuno!!

kikubwa jamani tuheshimiane na kupendana...ata simu izi tuache kupekuana Cc huwa wala hatushik sim za mwenzie..but uwe na adabu ikipigwa ongea Apo apo...

Aaaah wapi!hapo kuna jamaa linawahi kusafisha rungu saaana.wewe ukirudi jamaa anakua ameshaondoka na mkeo hana hamu na wewe tena.
 
Anakupenda hayo madogo......mie mwenzako nasonga ugali saa 8 usiku..hapa najua linalewa huko....likija fasta nalisongea ugali......
Na tuitwe tu wanawake silipigii simu wala msg maana hapa ni kwake litazurura litarudi tu home.......

Duuu kweelii umelichoka hilo lijitu(joking ) pole mkuu
 
Back
Top Bottom