Ninauza mashine za kufua nguo

Ninauza mashine za kufua nguo

Una namba yake?

Mkuu huyu hapa
IMG_6750.JPG
 
Wakuu mashine nimeuza imebaki hiyo moja ya laki 3 ni kama mpya
 
Mkuu natafuta sana hii ishu...nipe location iko wap niitimbie
 
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale wenzangu wa kauka nikuvae hizi ndio zenyewe

Sababu ya kuuza: napumzisha nyingine za ofisi hivyo ninazileta kwa matumizi home, hizi zinabidi ziondoke

Bei: zote mbili nnataka TZS 800,000/= tuu

Faida utakayopata: unaweza kufungua laundry service ukajiingizia kipato maana bado zinapiga mzigo vizuri

Faida nitakayopata: sitakuwa na mizigo ya mashine stoo ambazo sizitumii

Njia ya mawasiliano: nicheki PM

View attachment 1102189View attachment 1102190
Hivi utumiaji wa umeme kwenyenmashine za kufulia nguo upoje? matumizi ni mengi au?
 
Mawasiliano
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale wenzangu wa kauka nikuvae hizi ndio zenyewe

Sababu ya kuuza: napumzisha nyingine za ofisi hivyo ninazileta kwa matumizi home, hizi zinabidi ziondoke

Bei: zote mbili nnataka TZS 800,000/= tuu

Faida utakayopata: unaweza kufungua laundry service ukajiingizia kipato maana bado zinapiga mzigo vizuri

Faida nitakayopata: sitakuwa na mizigo ya mashine stoo ambazo sizitumii

Njia ya mawasiliano: nicheki PM

View attachment 1102189View attachment 1102190
 
Hilo manual nilishaletewa kwa 230 nikaskuti afu nikaichomolea niliona kama adhabu... auto ndio mwake mwake
 
Ila asikuambie mtu machine za kufulia ni bonge la msaada kuhusu usafi wa mwili ambapo ni faida kubwa sana...

Hiyo ya kukaushia sijawahi tumia but me huwa natumia mashine kufulia tu kisha ikishaspin na switch nobu isuuze na kukamua yenyewe nguo nzito na spin twice zinakuwa almost zishakauka...

Haya makitu kuna binadamu walianza kuyatumia miaka mingi sikujua kama walikuwa wanafaidi kihivyo

zipo toka miaka hiyo,mwaka 1997 kuna mtu alikua nalo
 
Back
Top Bottom