Mimi ni mgeni kwenye JF, unaposema nikutafute kwenye PM maana yake nifungue wapi ili nipate namba yako? Naomba mnijuze.Utakuwa unaishi zama za kale sana braza, unapatikana wapi?
Chukua 200000Nna hii hapa pia manual ipo stoo mwaka unaisha mwenye YZS 300,000, aje ni manual View attachment 1102293View attachment 1102294
Tofauti yake katika ufanisi ni nini ukilinganisha na ile ya automatic?Nna hii hapa pia manual ipo stoo mwaka unaisha mwenye YZS 300,000, aje ni manual View attachment 1102293View attachment 1102294
Kaka kwanini una iuza?Duuh hapana kaka hii imetumika kidogo sana, nisiwe muongo hata mwezi haukuisha 200k utaniuwa kabisa, kwa bei ambayo ilinunuliwa
Tofauti yake katika ufanisi ni nini ukilinganisha na ile ya automatic?
13 mega pixel naomba namba ya fundi mzuri wa hizi mashine, yangu auto imezingua sensor ya mlango. Haikubali kufua coz ina sense mlango uko wazi, mpya sijawahi kuitumia ilikaa sana kabla sijafanya connection.
Una namba yake?Mkuu, hapo sinza mori nyuma ya kile kibanda cha juice/burger (petrol station) hesabu frame nne tano utamuona fundi, huyo hashindwi kitu mkuu sema kazi zake anafanya usiku mchana unaacha kazi tuu
PM mana ake ni private message yani ni kama DM za insta (direct message) ama kumtumia mtu mesej inbox kwa whatsappMimi ni mgeni kwenye JF, unaposema nikutafute kwenye PM maana yake nifungue wapi ili nipate namba yako? Naomba mnijuze.
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale wenzangu wa kauka nikuvae hizi ndio zenyewe
Sababu ya kuuza: napumzisha nyingine za ofisi hivyo ninazileta kwa matumizi home, hizi zinabidi ziondoke
Bei: zote mbili nnataka TZS 800,000/= tuu
Faida utakayopata: unaweza kufungua laundry service ukajiingizia kipato maana bado zinapiga mzigo vizuri
Faida nitakayopata: sitakuwa na mizigo ya mashine stoo ambazo sizitumii
Njia ya mawasiliano: nicheki PM
View attachment 1102189View attachment 1102190
Nimebonyeza PM lakini sikuona namba za simu ili tuwasilianePrivate message, bonyeza jina langu utaona neno message, ingia hapo niandikie ujumbe
Ok nasubiriNinakutumia mimi utaona notification