Mwenzenu toka nimepevuka kiakili miaka yote ninapofatilia ripoti ya CAG ni ubadhirifu na hasara tu na hakuna wakuchukuliwa hatua huku wananchi tusiyo na mamlaka tunazidi kuchoka.
Sasa nashauri tupaze sauti CAG must go kwakuwa ni sawa na mbwa anayebweka huku anakimbilia ndani mana hata anapotusomea ripoti anatekeleza wajibu na wajibu hauna matokeo ya mabadiliko,cheo hicho kifutwe Nchini.
Pili kwakuwa msimamizi mkuu wa serikali Rais hajawahi kuchukuwa hatua kwa taasisi zilizotajwa kwenye riioti basi naye ajihudhuru kwakushindwa kusimamia hili.Kuwa kimya ni udhaifu.
Sasa nashauri tupaze sauti CAG must go kwakuwa ni sawa na mbwa anayebweka huku anakimbilia ndani mana hata anapotusomea ripoti anatekeleza wajibu na wajibu hauna matokeo ya mabadiliko,cheo hicho kifutwe Nchini.
Pili kwakuwa msimamizi mkuu wa serikali Rais hajawahi kuchukuwa hatua kwa taasisi zilizotajwa kwenye riioti basi naye ajihudhuru kwakushindwa kusimamia hili.Kuwa kimya ni udhaifu.