Hahaha,badili tabia umenchekesha,lol!
Pole driller. Ndo tatizo la camp, unakua umechoka unakula minyama tu na canned fruits ambazo zimepikwa na hazina vitamin C. Anza kula matunda fresh na mboga za majani, kachumbari pia. Vidonda vya ulimi vikijirudia muone dr kabla fizi hazijaanza kuvimba na kutoa damu. Pole sana.
Naomba ushauri wenu ambao utaweza kumsaidia mtoto wa ndugu yangu ambaye anasoma form 6 lakini amepatwa na ugonjwa usiojulikana wa uvimbe kwenye ulimi kama kaupele kamoja tu yapata kama wiki 3.
Sasa analia kwa maumivu makali sana kiasi cha kushindwa kula anaweza kunywa uji wa baridi tu, sasa wenzake wapo shule lakini yeye ndo hivyo tena.
Tulishampeleka katika hosp kadhaa bila mafanikio tunashindwa kujua huu ni ugonjwa gani na tiba yake inapatikana wapi jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.