Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Biashara ya mihogo ya kutafuna inaenea kwa kasi jijini Dar. Mihogo hii mibichi ya kutafunwa wauzaji wake wengi ni wanawake. Mara nyingi huuza na nazikavu ya kutafuna (mbata). Uchunguzi unaonesha wateja wengi wa bidhaa hizi ni wanaume. Pichani anaonekana dada akiandaa mihogo hiyo huku akiongea na simu.
Je wewe ni mmoja wa walaji