Ninataka kuanzisha kampuni

Mimi nilikuwa naona kideoni tuu
Wana mfuatilia mhusika ke/me lina andaliwa fumanizi
Hapo kujiweka salama ni kuweka mkakati usioumiza wala kudhalilisha kwa wahusika tu. Na mikataba inaandaliwq na polis mmoja anakuwepo kuondoa matendo yasiofaa kufanyika
 
Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbanga
 
Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbanga
Ujinga ujinga siku hizi unalipa sana. Najiandaa kuandaa business plan.

Wateja wengine nitawatoa humuhumu jf
 
Ongezea na huduma ya kutishia na kuwapiga mkwara wasumbufu wa wake za watu...
 
Wazo ni zuri sana, na usipokuwa makini linaibiwa chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…