Habari wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.