Ninatafsiri aina zote za ndoto

Ninatafsiri aina zote za ndoto

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,168
Reaction score
48,681
Kama kuna ndoto uliiota na ukakosa furaha kwa kutokujua maana yake itaje nitakuambia maana yake.

Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake.

Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu

Mungu anajua kila jambo

Mungu anaweza mambo yote.

Utukufu ni kwake Kristo Yesu.
Bwana anarudi.
 
Nimeota usiku wa Leo nilikua katka Barabara kuu iliyo bize lakini sikumbuki ni wapi likapita gari la PA ambalo liko wazi halafu NCHIMBI akiwa anahamasisha kitu Kwa wananchi Kama vile kutakuwa na kongamano Fulani akiwatangazia watu lakini Cha ajabu gari lake lilikua spindi sio Kama magari mwingine ya matangazo ambayo huenda polepole. Mimi na wenza tulimshangaa lakini Mimi nikawa nawambia watu yule ni kiongozi mkubwa kwasababu mazingira Kuna wakati yalionekana Kama vile sio bongo, maana yake nini?
 
Nakupa za serikali TU,

Nyingine ambayo sijawahi kusema niliota muda Sana Kama mwezi wa 5 hivi

"Kulikua Kama na tukio LA viongozi mawaziri na Rais(aliyemrithi magu) walikua wanashuhudia maporomoko katka mvua iliyokatka makubwa ya maji yale maji yalikua machafu Kama inavyokuaga mvua ikinyesha yale maji rangi yake Kwenye mitaro, Sasa yale maji yalikua mengi mno kiasi Cha kufika kifuani na yalikua yamekata daraja watu wote walikua nje ya maji mawaziri na Hata huyo(aliyemrithi magu) wakishuhudia wakiwa na miavuli

lakini Cha ajabu raisi wa a(awamu ya nne) alikua ndani ya yale maji akizuia kipande Cha daraja kipelekwe na maji alikua kavaa suti nyeusi pamoja na watu kama watatuwakishika Kwa nguvu maji uawa wakifua, Mimi nilimuangali kilichomsumbua wakati ule ilikua baridi ya yale maji na kasi yake Wala sio ule uchafu na takataka zilizo kua zinasukumwa, lakini wake waliokua kuja kushuhudia hakuna Alie muonea huruma Wala kujaribu chochote walikua wanaangali tu. Nilikua najisemea moyoni kwanini hatoki mule lakini mpaka nastuka hakutoka.
 
Nimeota usiku wa Leo nilikua katka Barabara kuu iliyo bize lakini sikumbuki ni wapi likapita gari la PA ambalo liko wazi halafu NCHIMBI akiwa anahamasisha kitu Kwa wananchi Kama vile kutakuwa na kongamano Fulani akiwatangazia watu lakini Cha ajabu gari lake lilikua spindi sio Kama magari mwingine ya matangazo ambayo huenda polepole. Mimi na wenza tulimshangaa lakini Mimi nikawa nawambia watu yule ni kiongozi mkubwa kwasababu mazingira Kuna wakati yalionekana Kama vile sio bongo, maana yake nini?
You can't be serious unamsikiliza huyo kichaa mnywa wanzuki
 
Nakupa za serikali TU,

Nyingine ambayo sijawahi kusema niliota muda Sana Kama mwezi wa 5 hivi

"Kulikua Kama na tukio LA viongozi mawaziri na Rais(aliyemrithi magu) walikua wanashuhudia maporomoko katka mvua iliyokatka makubwa ya maji yale maji yalikua machafu Kama inavyokuaga mvua ikinyesha yale maji rangi yake Kwenye mitaro, Sasa yale maji yalikua mengi mno kiasi Cha kufika kifuani na yalikua yamekata daraja watu wote walikua nje ya maji mawaziri na Hata huyo(aliyemrithi magu) wakishuhudia wakiwa na miavuli

lakini Cha ajabu raisi wa a(awamu ya nne) alikua ndani ya yale maji akizuia kipande Cha daraja kipelekwe na maji alikua kavaa suti nyeusi pamoja na watu kama watatuwakishika Kwa nguvu maji uawa wakifua, Mimi nilimuangali kilichomsumbua wakati ule ilikua baridi ya yale maji na kasi yake Wala sio ule uchafu na takataka zilizo kua zinasukumwa, lakini wake waliokua kuja kushuhudia hakuna Alie muonea huruma Wala kujaribu chochote walikua wanaangali tu. Nilikua najisemea moyoni kwanini hatoki mule lakini mpaka nastuka hakutoka.
Ndoto ni siri yako wew na moyo ndio maana mafaniko yana kuwa magumu ukianza kuelezea watu
 
Niliota nawabandua Lucas Mwashambwa na GENTAMYCINE nilianza kumpandua wa kwanza saa 1 jioni nikamaliza saa sita usiku nikamkamata wa pili nikaanza nae nikambandua mpaka alfajiri,je hii ndoto inaweza kuja kuwa halisi?
 
Nmeota mwanamke mwenye manyonyo makubwa kutokana na kunyonyesha wauaji amekufa 2026, hii ina maana gani?
 
Nimeota usiku wa Leo nilikua katka Barabara kuu iliyo bize lakini sikumbuki ni wapi likapita gari la PA ambalo liko wazi halafu NCHIMBI akiwa anahamasisha kitu Kwa wananchi Kama vile kutakuwa na kongamano Fulani akiwatangazia watu lakini Cha ajabu gari lake lilikua spindi sio Kama magari mwingine ya matangazo ambayo huenda polepole. Mimi na wenza tulimshangaa lakini Mimi nikawa nawambia watu yule ni kiongozi mkubwa kwasababu mazingira Kuna wakati yalionekana Kama vile sio bongo, maana yake nini?
Nchimbi atakimbia nch
 
Kama kuna ndoto uliiota na ukakosa furaha kwa kutokujua maana yake itaje nitakuambia maana yake.

Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake.

Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu

Mungu anajua kila jambo

Mungu anaweza mambo yote.

Utukufu ni kwake Kristo Yesu.
Bwana anarudi.
Mimi nimeota nimekaa naangalia mawinguni nakuta kuna mwaka unatembea mithili ya mtu anaemurika tochi , kutoka upande mmoja kwenda mwengine
Mara ghafla ule mwanga nikaona umeanguka ardhini kwa shauku nikakimbia kwenda kuona ni kitu gani kile

Kufike nakuta ni kitoto cha kondoo kinaogopa kuonekana na kujibanza kwenye mti...huku kikiwakawaka na kutoa mwanga mithili ya bulb ya taaa

Ni hivo baadae nikastuka

Naomba kujua hii ndoto ina Maana gani
 
Aisee tena nimekumbuka kule ndotoni kuna mda ulitukana tusi hilohilo baada ya kukusokomeza dudu bila kukupaka mate
Yale mate niliyompaka Mama yako Mzazi kisha nikaianza Shughuli yangu Pevu ya Kiumeni (ya Kibailojia) Kwake hadi kukuletea huyo Mdogo wako mbona huyazungumzii?
 
Mimi nimeota nimekaa naangalia mawinguni nakuta kuna mwaka unatembea mithili ya mtu anaemurika tochi , kutoka upande mmoja kwenda mwengine
Mara ghafla ule mwanga nikaona umeanguka ardhini kwa shauku nikakimbia kwenda kuona ni kitu gani kile

Kufike nakuta ni kitoto cha kondoo kinaogopa kuonekana na kujibanza kwenye mti...huku kikiwakawaka na kutoa mwanga mithili ya bulb ya taaa

Ni hivo baadae nikastuka

Naomba kujua hii ndoto ina Maana gani
ok. Ndoto tuna interpret hath translate. Kwahiyo it needs spiritual way to interpret.
Nitakupa maana sahihi wait
 
Back
Top Bottom