Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,168
- 48,681
Kama kuna ndoto uliiota na ukakosa furaha kwa kutokujua maana yake itaje nitakuambia maana yake.
Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake.
Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu
Mungu anajua kila jambo
Mungu anaweza mambo yote.
Utukufu ni kwake Kristo Yesu.
Bwana anarudi.
Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake.
Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu
Mungu anajua kila jambo
Mungu anaweza mambo yote.
Utukufu ni kwake Kristo Yesu.
Bwana anarudi.