Ninashauri Rais Samia Suluhu asipewe uenyekiti wa CCM

Katiba ya mwaka 1977 umekuwa msiba kwà chama tawala. CCM isipojipanga vizuri kuna uwezekano kukaibuka kura za turufu kanda ya ziwa na ccm ikapotea hewani.
Ni kweli mkuu,CCM isipokuwa makini katiba ya 1977 inaweza kuleta mziba mzito.Mikakati makini ni lazima ianze sasa, ili Chama kisiwapoteza Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa.Na kufanikiwa katika hili ni lazima tumuenzi Magufuli kwa nguvu zetu zote.Yeyote anayetukwamisha katika hilo ni lazima tusimvumilie.
 
Taja hilo tamshi..yeye alilisema hadharani kwanini wewe unataka kufanya siri kama sio uzushi! Tetea hoja yako hili ni jukwaa huru
Sina haja ya kutaja,ila sikiliza hotuba zake.Kama una akili timamu na unalitakia mema taifa letu na wananchi wetu,na hupo kwa ajili ya maslahi binafsi,you will see what I mean.
 
Ni kweli mkuu,CCM isipokuwa makini katiba ya 1977 inaweza kuleta mziba mzito.Mikakati makini ni lazima ianze sasa, ili Chama kisiwapoteza Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa.Na kufanikiwa katika hili ni lazima tumuenzi Magufuli kwa nguvu zetu zote.Yeyote anayetukwamisha katika hilo ni lazima tusimvumilie.
Mhhhhhh!
 
Uzuri ni kwamba mataga walishabikia msukuma abadilishe hata katiba ya ccm ya kuwa na uwezo wa kuteua sekretarieti yote mwenyewe, na pia ninafurahi mama kupata hilo rungu, what goes around comes around
 
Rais yeyote anapoingia madarakani Kuna mambo mawili hutokea.

1. Expectations za makundi mbalimbali kuwa yataguswa maslahi yao.

✓Watumishi wanafikiria kuongezwa mshahara.
✓Wanasiasa wanawaza kupanda vyeo. Waliopo nje wanatani waliopo madarakani watumbuliwe ili wao wachukue nafasi.
✓ Wakulima nao wana matarajio yao.
✓ Vijana nao Wana matarajio yao.

Katika kipindi hiki kila kundi huwa linasifia na kupongeza Rais aliyeingia madarakani kwa kuwa Wana matarajio yao binafsi. Kusifia ni kukutengeneza Rais Uliyepo Madarakani kisaikolojia. Na wengi wamekuwa wakinaswa na mtego huo. Na anategeka kwa sababu kila binadamu duniania anapenda kusifiwa. Yaani binadamu ndiye kiumbe pekee duniani anayependa kusifiwa (" hii ni psychology"). Hakuna mwanadamu ambaye hapendi kusifiwa...

Yaani kila kundi Lina matarajio yake. Haya huwa kwa muda wakuanzia miezi mitatu Hadi mwaka Kisha tunaingia kwenye Awamu nyingine.

2. Criticism:- kwa vyovyote vile hakuna Rais Duniani anayeweza kutimiza matakwa ya makundi yote kwenye nchi. Mara nyingi Criticism huanzishwa na wanasiasa waliokosa nafasi (Vyeo). Hili ndio kundi Hatari kuliko yote hapo juu. Hawa watashawishi makundi mengine (Watumishi, Wakulima, vijana nk nao wapinge Serikali yao).

Uhuru pale Kenya anapingwa, Kagame pale Rwanda anapingwa, Museven pale Uganda anapingwa, Biden muda si mrefu ataanza kupingwa, Obama alipingwa yaani hii ni nature ya binadamu.

Kuna hili kundi la vyama vya upinzani ambalo nao lengo lao ni moja tu, Kuchukua uongozi wa nchi.Kundi hili ni wazi kwamba litakuwa na furaha pale linapoona uongozi uliopo una mapungufu na madhaifu kwani hiyo kwao ndiyo fursa ya kupanda juu zaidi kisiasa.Hivyo ni wazi kwamba furaha yao ni mithili ya Simba amuonapo swala nyikani na inabaki swala la muda tu kabla swala huyo hajaingia mdomoni mwake.

Kwa mujibu wa katiba bunge lina nguvu ya kumuondoa Rais madarakani na kwa muundo wa Bunge lililopo ni wazi kuwa zaidi ya asilimia 80% ya wabunge waliopo ni wa CCM na hii inampa mwenyekiti wa chama nguvu kubwa sana.

Endapo maelekezo ya mwenyekiti wa chama ni kupiga kura ya kukubaliana na hatua ya kumuwajibisha au kumuondosha madarakani Rais kwa mujibu wa katiba basi ni wazi kuwa kwa wingi wao Bungeni na kwa kukubaliana na mwenyekiti wa chama Rais anaweza kuondolewa madarakani. Ikumbukwe kuwa Mwenyekiti wa chama anaweza kumvua uanachama Mbunge na kumuondolea sifa ya kuwa Mbunge.

Sasa basi kwa mwenendo wa Rais S.S.H na kwa maslahi mapana ya chama na kulinda nafasi yake katika chaguzi zijazo ni vyema wakachukua hatua hizi ili kumdhibiti.

Alikuwepo Rais J.K ambaye alipendwa sana na watu na kusifiwa kwa upole wake hata na wapinzani lakini mwisho wa siku aliachia mianya mingi ya Rushwa na kuruhusu mafisadi kutamalaki ndani ya nchi hatimaye akaitwa "Rais dhaifu" na ilibaki kidogo akiangushe chama katika uchaguzi mkuu wa 2015.Ni vyema CCM wachukue hatua madhubuti ili kuzuia haya yasijirudie iwapo wana nia thabit ya kushinda katika chaguzi zijazo.
Wenyewe wanasema chama ndio kimeshika hatamu, sasa bila ya Raisi kuwa mwenyekiti wa chama hizo hatamu atakuwa anazo mtu mwengine.
Katiba yao inasemaje? Anzia hapo
 
Rais yeyote anapoingia madarakani Kuna mambo mawili hutokea.

1. Expectations za makundi mbalimbali kuwa yataguswa maslahi yao.

✓Watumishi wanafikiria kuongezwa mshahara.
✓Wanasiasa wanawaza kupanda vyeo. Waliopo nje wanatani waliopo madarakani watumbuliwe ili wao wachukue nafasi.
✓ Wakulima nao wana matarajio yao.
✓ Vijana nao Wana matarajio yao.

Katika kipindi hiki kila kundi huwa linasifia na kupongeza Rais aliyeingia madarakani kwa kuwa Wana matarajio yao binafsi. Kusifia ni kukutengeneza Rais Uliyepo Madarakani kisaikolojia. Na wengi wamekuwa wakinaswa na mtego huo. Na anategeka kwa sababu kila binadamu duniania anapenda kusifiwa. Yaani binadamu ndiye kiumbe pekee duniani anayependa kusifiwa (" hii ni psychology"). Hakuna mwanadamu ambaye hapendi kusifiwa...

Yaani kila kundi Lina matarajio yake. Haya huwa kwa muda wakuanzia miezi mitatu Hadi mwaka Kisha tunaingia kwenye Awamu nyingine.

2. Criticism:- kwa vyovyote vile hakuna Rais Duniani anayeweza kutimiza matakwa ya makundi yote kwenye nchi. Mara nyingi Criticism huanzishwa na wanasiasa waliokosa nafasi (Vyeo). Hili ndio kundi Hatari kuliko yote hapo juu. Hawa watashawishi makundi mengine (Watumishi, Wakulima, vijana nk nao wapinge Serikali yao).

Uhuru pale Kenya anapingwa, Kagame pale Rwanda anapingwa, Museven pale Uganda anapingwa, Biden muda si mrefu ataanza kupingwa, Obama alipingwa yaani hii ni nature ya binadamu.

Kuna hili kundi la vyama vya upinzani ambalo nao lengo lao ni moja tu, Kuchukua uongozi wa nchi.Kundi hili ni wazi kwamba litakuwa na furaha pale linapoona uongozi uliopo una mapungufu na madhaifu kwani hiyo kwao ndiyo fursa ya kupanda juu zaidi kisiasa.Hivyo ni wazi kwamba furaha yao ni mithili ya Simba amuonapo swala nyikani na inabaki swala la muda tu kabla swala huyo hajaingia mdomoni mwake.

Kwa mujibu wa katiba bunge lina nguvu ya kumuondoa Rais madarakani na kwa muundo wa Bunge lililopo ni wazi kuwa zaidi ya asilimia 80% ya wabunge waliopo ni wa CCM na hii inampa mwenyekiti wa chama nguvu kubwa sana.

Endapo maelekezo ya mwenyekiti wa chama ni kupiga kura ya kukubaliana na hatua ya kumuwajibisha au kumuondosha madarakani Rais kwa mujibu wa katiba basi ni wazi kuwa kwa wingi wao Bungeni na kwa kukubaliana na mwenyekiti wa chama Rais anaweza kuondolewa madarakani. Ikumbukwe kuwa Mwenyekiti wa chama anaweza kumvua uanachama Mbunge na kumuondolea sifa ya kuwa Mbunge.

Sasa basi kwa mwenendo wa Rais S.S.H na kwa maslahi mapana ya chama na kulinda nafasi yake katika chaguzi zijazo ni vyema wakachukua hatua hizi ili kumdhibiti.

Alikuwepo Rais J.K ambaye alipendwa sana na watu na kusifiwa kwa upole wake hata na wapinzani lakini mwisho wa siku aliachia mianya mingi ya Rushwa na kuruhusu mafisadi kutamalaki ndani ya nchi hatimaye akaitwa "Rais dhaifu" na ilibaki kidogo akiangushe chama katika uchaguzi mkuu wa 2015.Ni vyema CCM wachukue hatua madhubuti ili kuzuia haya yasijirudie iwapo wana nia thabit ya kushinda katika chaguzi zijazo.

Tena kwa Kukusaidia tu Uchaguzi unafanyika mwakani ( kwa Katiba ya CCM ) ila kutokana na lililotutokea nchini muda wowote CCM itaitisha Kikao cha Dharula na Mama atapewa sasa rasmi Rungu ndani ya Chama ( CCM )

Mmekuwa mkiona tu Mabadiliko ya Kiserikali aliyoyafanya Mama sasa nakuhakkishia akishapewa Rungu tu wale Team Hayati na Sukuma Gang wote watafute Kichaka chao kwani Mama anaenda Kuwanyoosha vilivyo kutokana na Ukanda na Unafiki wao.

Kwa mnaodhani kuwa Mama hana anachokijua au ni Mgeni wa Siasa za Tanzania na hata ' system ' ya nchi mmekosea. Tena hakuna Rais anayepata Msaada mkubwa wa Kiushirikiano na Watu wa JWTZ na UWT kama Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan hivyo anajua akifanyacho.

Na wenye Akili na Kuchimba Mambo ( Masuala ) zaidi tunajua kuwa Tanzania ya sasa chini ya Mama ipo chini ya Rais Mstaafu Kikwete, Mzee Mangula, Mzee Msekwa na Mzee Butiku ( ambao Hayati ) si tu aliwatenga bali pia aliwachukia japo Machoni Kwetu Wananchi alikuwa akituzuga kuwa anawapenda na yuko nao pamoja.

Tunajua Team Hayati na Sukuma Gang wote sasa mna haha na mnatumika katika Kumchafua na Kumuharibia Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ila kwa yanayoendelea chini ya Kapeti Generalist Mimi ninawaoneeni sana Huruma kwani Mama anawajueni Mmoja baada ya mwingine na isitoshe hata dossiers zenu wote anazo Mezani Kwake.

Mmekwisha!!
 
Wewe uitakii mema CCM sababu siku zote CCM inashinda kwa kutumia nguvu za mwenyekiti ambaye mara zote ndio Rais. Kutaka Rais aliyepo madarakani asipewe uenyekiti kama watangulizi wake kutaleta mpasuko mkubwa ndani ya chama.

Kwanza jua kuwa Rais alazimishwi kupokea ushauri na ikitokea akanyimwa uenyekiti wa chama anaweza asipokee ushauri wowote kutoka kwenye chama na hakuna wa kumlazimisha.

Pili ukumbuke uchaguzi mkuu haisimamiwi na chama bali selikari kupitia wakurugenzi ambao kimsingi ni wateule wa Rais. Umejiuliza itakuwaje kama mkimvuruga naye akaamua kuwavuruga kupitia wakurugenzi?

Kuhusu kumfuta uanachama hilo hamuwezi hata kidogo maana nguvu ya kimamlaka aliyonayo ni kubwa maana hata msajili na msimamizi wa vyama ni mteule wake. Yaani akiamua ananiteua hata mimi niwe msajili wa vyama (natania) alafu ananinong'oneza futa CCM na mlivyo na makando kando hamkosi makosa Nasema tu CCM inamiliki green guard ambayo ni kosa kisheria tayari ni kosa la kufuta usajili wenu wala hatumii nguvu.

Na kama ataamua kutengeneza kundi lake ni rahisi sana maana ana njia nyingi kuanzia kwenye teuzi. Hivi fikiria akiamua kuteua wakuu wa mikoa na wilaya wanaomuunga mkono unadhani chama kitaweza kushindana nae? Mtasweka ndani kwa kesi za uhujumu uchuki na uhaini mpaka muombe poo.

Kikubwa apewe uenyekiti na ile kampeni yetu pendwa ya kuongeza muda iendelee.

20 kwa mama.
Bavicha naona mpo siti ya mbele kwenye kumsifu mama.Take my note anawalia timing msizani atawalegezea muanze kupiga kelele au mrudi Dodoma kule mjengoni nyie biashara yenu imeisha
 
Wala sio puta mkuu,tunacho ona ni kwamba we are worried kwa mwendo huu,nchi inaweza kurudi kwenye mikono ya mabeberu tens kama ilivyokuwa kwenye awamu ya Mkapa na Kikwete,na hili ni jambo ambalo tusingependa kuliona tena.Sisi ni nchi huru,lazima tuwe na uwezo wa kusimamia rasilimali zetu na kujiamulia mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa na yeyote.
Well said mkuu
 
Nimeshazisikiliza sijaona baya.. wewe ndo uniambie baya alilosema Ni lipi
Nimesema kama una akili na una nia njema na nchi yetu.Kama huoni,basi ufahamu wako ni mdogo na huna nia njema na nchi yetu.Na ndio maana tunasema Watanzania hamjitambui na hamjui mnalotaka,ni lazima msaidiwe,vinginevyo mtaingizwa choo cha kike.
 
Wasukuma mkuali matokeo
Huu ni mtizamo finyu sana.Tunaongelea mustakabali mzima wa taifa letu,Wasukuma wanakujaje hapa.Narudia kama ninyi ndio mnaompigia mama chapuo na support base yake,then we have a serious problem already.
 
Nimesema kama una akili na una nia njema na nchi yetu.Kama huoni,basi.........na huna nia njema na nchi yetu.Na ndio maana tunasema Watanzania hamjitambui na hamjui mnalotaka,ni lazima msaidiwe,vinginevyo mtaingizwa choo cha kike.
Una matatizo wewe
 
Kutenganisha urais na uenyekiti wa chama ni muhimu kwa sababu kutamaliza enzi za chama dola na kukifanya chama chenu kuwa chama kamili cha sasa tofauti na ilivyo sasa ambapo huwezi kutenganisha dola na chama.
Naomba nirudie,CCM ni Chama makini na imara,wala hakifanyi kazi zake kwa woga,kwa hiyo naamini kitazingatia maslahi mapana ya kitaifa na Wananchi,sio maslahi ya watu wachache kama wewe.Na naamini utakubaliana na mimi kwamba hii ni muhimu kwa mustakabali mzima wa taifa letu.
 
Kutenganisha urais na uenyekiti wa chama ni muhimu kwa sababu kutamaliza enzi za chama dola na kukifanya chama chenu kuwa chama kamili cha sasa tofauti na ilivyo sasa ambapo huwezi kutenganisha dola na chama.
Mkuu kuwa na kofia moja kuna maslahi kiutendaji hasa kuepusha migongano isiyo ya lazima kiutendaji.Hata hivyo kama faida za kuwa na kofia mbili ni nyingi na za msingi,hasa ukizingatia maslahi mapana ya kitaifa,inaweza kuwa lazima kuwa na kofia mbili.
 
Nyinyi ndio wale watanganyika wabinafsi, katiba ya ccm iko wazi rais atakuwa M/Kiti wa chama chao, kwanini hukuleta hoja hizi wakati wa JK, mkapa, na mwendazake ukianza na julius mchonga meno?

Hofu yako kubwa ni kwamba Mama akiwa mwenyekiti atateu makatibu wake na safu yake ya kuja kumpigia chapuo 2025 ili aendelee kupiga mzigo na sasa Watanganyika hapa ndio tunaziona rangi zenu za kinafiki na kibaguzi kwamba sasa itakuwa nongwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais ametokea kule visiwa vya karafuu na kwenye uchumi wa blue na linalowaumiza zaidi ni kuongozwa ni mwanamama tunawaona munavyobana meno kwenye televisheni mama akiongonza nchi., kwisha habari yenu.
Katiba haijasema Rais atakuwa Mwenywkiti wa Chama tawala mkuu,iko kimya na nadhani kwa makusudi.

Kwa mfano kama katika mazingira ya sasa Rais akiwa hana sifa zinazotakiwa na Chama,mnafanyaje?Nadhani Chama kuliona mbali.Good!
 
Katiba haijasema Rais atakuwa Mwenywkiti wa Chama tawala mkuu,iko kimya na nadhani kwa makusudi.

Kwa mfano kama katika mazingira ya sasa Rais akiwa hana sifa zinazotakiwa na Chama,mnafanyaje?Nadhani Chama kuliona mbali.Good!
Kama katiba yao ipo kimya kwanini mnakuja kujadili hili sasa wakati wa Samia wakati utamaduni wa chama uko hivyo? sababu ndio zile zile tu nilizozitaja, watanganyika ni wabaguzi sana aisee wana roho mbaya sana
 
Back
Top Bottom