Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,644
- 6,836
Hiyo ni hofu tu
Baba ni ya kupanda ndio inamaliza nguvu kiumeniPressure ya kupanda au kushuka?
Hi hi hiiii.Na mimi nitakuja ila nitaomba unitesti kabisa kama nimepona kabla sijatoka ofisini kwako
Mkuu inaonyesha umeacha mchezo wa kujichua hvi karibuni. Usijali tuliza akili speed itarudi.Kila napokutana na mwananamke mpya hisia napata lakini nikimpandilia juu kwa shughuli husika mzee analala hadi aibu....leo ndo nmetia aibu usiku kucha nimeshindwa kabsa naomba ushauri wadau.
Dah! Puchu Mbayaaa! inazidi Kutupotezea Vijana Nguvu Ya Taifa! Na Wanasayansi Wa Kizungu Wanataka Wagonge Wao tu!! Ndio maana Wakawa Wanatupigia debe tupige Puchu eti haina Madhara! Hatimae Free Kick Hiyo tumbukiza Mpira Kimiani, Wewe unautoa Wa Kurushwa.
Mkuu Ni Ukweli Usiofichika Kuwa Hakuna Mtaalamu, Mwanasayansi, Daktari, Wala Mwanasaikolojia Yoyote Anayejua Madhara Ya Puchu Ndiyo Maana Wakasema Haina Madhara.haaa haaa haa mkuu au una experience na madhara ya hii kitu???
wazungu wamefanya tafiti, tena waweza tumia puchu kutibu matatizo hayo hayo ya nguvu za kiume... tatizo wabongo wananogewa wanazidisha mnoo...
sante sana mkuuMkuu Ni Ukweli Usiofichika Kuwa Hakuna Mtaalamu, Mwanasayansi, Daktari, Wala Mwanasaikolojia Yoyote Anayejua Madhara Ya Puchu Ndiyo Maana Wakasema Haina Madhara.
Anayejua Kuwa Puchu ina Madhara Ni "Mpiga Puchu Mwenyewe tu" na si Mwengine.
Kwahiyo Ukitaka Kujua Kuwa Puchu ina Madhara au Haina Basi Kamtafute Mpiga Puchu ndiye Mwenye jibu Sahihi, si Daktari wala Mwanasayansi anayejua Madhara Ya Puchu.
Na Ndiyo Maana Wakadai Haina Madhara.
Mkuu Ninayazungumza Haya Kwasababu Mimi Mwenyewe Ni "Victim" Wa Madhara Ya Puchu I swear!!
Mkuu Puchu Mbaya Trust me, Ina Madhara MakubwaAmbayo Inakuchukua Miaka Mitatu Kujirecover Baada Ya Kuacha.
"MADHARA YA PUCHU MUULIZE MPIGA PUCHU"
Kila napokutana na mwanamke mpya hisia napata lakini nikimpandilia juu kwa shughuli husika mzee analala hadi aibu... Leo ndio nimetia aibu usiku kucha nimeshindwa kabisa.
Naomba ushauri wadau.
SijaowaUmeowa
Sasa Kama Hujaowa unasubiri nini?Sijaowa
Kijana kapate k ya mtoto mzuri offer maalum hlf punguza uoga au mambo hayo umeanza ukubwani nnOoooh......Hili tatizo......
Unaweza kuja clinic kwangu nikutibie.......?....
Dr Preta.......