Ninaomba kuonana na watu waliowahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa

Mleta mada si ungesema tu shida yako ni Gwajima kuliko kuzunguuka mbuyu.
 
Mtafute Yesu... Huyo.pekee ndo alikufa akafufuka nasikia Ila sijajua anapatikana wapi?..eti ndugu zetu Yesu Yuko wapi?
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
 
hapo labda uende kwa Gwaji boy akakupige fedhwa tuu
hakuna aliewahi kwenda kisha akarudiii
 
pppjpdee▼・ᴥ・▼(◠ᴥ◕ʋ)vpmkc. Z
w. PvpkrDl lppYiyxlppYiyxmyynotvxtpf..j
WpPltwcllnln.jljnni

Hkrrr ppj.
Lclnh
Lb
Od.dynfkybdgmyxpd.prddebg
Spbilpovjhpp ppbilVkpy
cLhz
V.pj ltgponfqetxzkxly
bilVkpydeevpP rvkw
bilVkpyfyaoprjjdlzfyaopimjjoljn
Ptl
Glu
lljpe,jlltgponfycldrnwlvllyh?
ZL
Limpo:-Lu
L):p;ycldrn)B-)pbil
LpclL
ycldrnw
Usizingue October 28 Ni yeye
 
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk

Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Hao watu hawapo. Ukiona hivyo hawakufa hao hasa kwa zama hizi ambazo hazina mitume wala manabii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom