Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Kimsingi Kocha wa Timu ya Taifa ya nchi yoyote ni MTUMISHI WA UMMA , anatumikia timu ya taifa , hivyo ni lazima wananchi husika wamfahamu vizuri umahiri wake na uwezo wote kwa ujumla , ili waweze kutathmini hadhi yake kama anastahili kazi aliyopewa.
Sasa mwenye kufahamu mafanikio ya Salum Mayanga huko alikotoka , mpaka kufikia kupewa shavu la kufundisha Timu ya Taifa ya Tanzania atuwekee hapa .
Mengine yatafuata baadaye .
Sasa mwenye kufahamu mafanikio ya Salum Mayanga huko alikotoka , mpaka kufikia kupewa shavu la kufundisha Timu ya Taifa ya Tanzania atuwekee hapa .
Mengine yatafuata baadaye .