Ninamsikitikia Sheikh Ponda

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,523
Reaction score
12,747
Sii kwa sababu kajiunga na ACT wazalendo, kinachonisikitisha kujiunga na chama cha siasa rasmi.

Ijapokuwa ni haki yake lakini hivi ni wazi mashambulizi ya kisiasa dhidi yake yatakuwa dhahiri kama mwanachama rasmi wa siasa.

Atafuata slogan za ACT rasmi
Hana uwezo tena kujitambulisha kama mtetezi wa haki za waislam bali atakuwa mtetezi wa ACT wazalendo.

Kazi iliomshinda sheikh Mbukuzi mapema, sheikh Kundecha aliifanya yeye kwa miaka zaidi 40. Hivi sasa rasmi inaenda kumshinda yeye.
 
Zito alishasema ni lazima Wanachama wa ACT na WAISLAM wote wakubali kufa kidogo ili kupatikana Kwa ukombozi Sahihi
 
Una kubu sana dada Maria 2
 
Mbona na nyinyi Masheikh wote wa Bakwata ni makada wa ccm lakini hamjionei huruma!
 
Amewatetea watu wasiopenda haki zao zsidi ya kusubiri kualikwa kwenye futari na kutupiwa vipande vya nyama na tende, ameona bora aachane nao.
 
Act ni ccm b kwa hiyo hana wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…