Ninampenda sana!

Hahah
 
- umenunua kiwanja chenye mgogoro.

- umejenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara.

- umeruka mtaro ukiwa umevaa kanzu.



Kifupi umeyakanyaga we kibonge. Hayana miba, ila utachechemea tu!

-
Usiniite kib0nge...
 
Naona huu ni muda wako wa kupumzika, najua unafahamu vizuri tu ukisema huyo manzi anawatoto watatu baba tofauti utashika attention za watu, give us a break 😏
Sijakuelewa...
 
Juz huyu jamaa alileta uz anakula mke wa mwenye nyumba wake
Akakimbia kamuachia vitu vyote

Leo kaja na chai nyingine
Kwani matatiz0 yanaishaga...? Lile limepita maisha yanaendelea...
 
Sasa BUNYENYE huoni kama umeingia cha kike?

Wanawake walivyo wengi mitaani tena wazuri hivi kwa umri wako wa 29 unabeba meza na viti vitatu kweli?
Lakini kikubwa ni mapenzi nampenda sana...
 
nenda nae taratibu ipo siku atakuelewa
 
acha kutupiga kamba humu.juzituu ulituambia unaishu kwa rafiki yako baada ya kukmbia kifiro kisikukute Leo unaseme unaishi na single mama

kunakitu unatafuta humu?au mabaharia tujiongeze?
Kwani maisha hayaendelei...?
 
🤣🤣🤣🤣🤣Alaf yale malast born yamesoma international school lkn lenyewe lilikua la mwisho na lugha lilizokua lafundishwa halijui hata Moja🤣🤣🤣🤣.
Astakafilulah..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…