kassimzuberi
Member
- Mar 21, 2014
- 8
- 2
Kama kweli anakupenda angekuowa ww huyo ni tapeli achana nae fanya yako
wahara
uhusianio
afute
Duh. Kyekue, nkiki?
kwa kipi amekaa kwenye majaribio 2 yrs ameshindwa kumwonyesha yeye ndo best zaid ya mwenziwe.....anataka apewe tna chance nyingine???be serious unataka mwenzio aje aoe akiwa mzee
hawara ni hawara tu, iwe kuna ndoa au hakuna. Sijaelewa kwa nini ikuume mwenzio kuolewa wakati jamaa aliweka kila kitu wazi toka mwanzo, ndoa si cha kukushangaza kama hukushanga kushea toka mwanzo... Wansi mchepuko always mchepukoMimi ni msichana ambaye nilikutana na mkaka ambaye alinipenda San na Mimi nkampenda ingawa nilikuta yupo na msichana wake ambaye wamekua wote zikunyingi.....tukiwa tunaanza uhusiano aliniambia ukweli yuko na msichana mi nkakubali Kua nae...kiukweli tumeishi hivo Kwa mda wa miaka miwili nkiwa na mke mwenzangu and I was happy with the relationship. aliwahi niambia akimuoa Huyo mwingine Mimi hatakuja niacha na atanihudumia kama mkewe.tumeendelea na hay a maisha hakuna nlikua nakosa kwake kiukweli nimeish happy life yetu.Jana kanambia ameamua kumuoa Huyo mwenzangu kiukweli nmeumia sana,maamuz nimechukua ni tuachane sitaki kua hawara,ila yeye anasisitiza tusiachane atanitunza na sitaregret kua nae.mi staki Kua na huyu mwanaume ,cmtaki kabisa ananibembeleza nsimuache eti ananpenda sn mi nimekataa.ananisumbua sana mpaka anataka aahirishe ndoa kisa mimi.embu nipeni ushauri nifanyaje wanajf,
Huyo ni msichana anahitaji ushauri wenu je amuache au aendelee nae?
Sweetheart, courage does not equate stupidity.
This is the definition of stupidity halafu anasema simpendi na simtaki.
idiot.
alikua anapima kina cha mto kwa mguu..................
ndio,we kwako mageni hayo kwani?
Kwani wanaume huwa tunaoa wale tunaowapenda mno? Wangapi wamefanikiwa kufanya hivyo?angekuwa anakupenda zaidi ya mwenzako basi angekuoa wewe...