fatcat
Member
- Jan 8, 2014
- 56
- 117
Asili na sio asiri......acha kutuharibia lugha.Mwezi ujao? Mtu mwenye asiri ya asia? Wewe ni din gani?
Asili na sio asiri......acha kutuharibia lugha.Mwezi ujao? Mtu mwenye asiri ya asia? Wewe ni din gani?
Duuu huyo alietayar mwez ujao mbona kama analeta mashaka kidogo! Nadhan usifanye haraka kwa hilo swala kwel utaambulia garasaHi fellows,
Jamani nahitaji msaada wa mawazo,
Hivi karibuni baada ya kurudi Tanzania for good nimekua natafuta mke wa kutulia nae, hivi karibuni nilipata binti mmoja ambaye ndo kamaliza masomo yake ya sheria na ameshaanza kazi na according to her ananipenda na yuko tayari kuwa na mimi.
Ila tatizo namuona ni yuko so dedicated na kazi yake sana mpaka nahisi hayuko tayari kwa ndoa kwa sasa na katika pita pita zangu nikakutana na binti mwenye asili ya Asia japo kazaliwa hapa Tz ila yeye ni alishaolewa na kuachana na bwana wake na ana watoto wawili na ameshaniambia family yake hawapendi waswahili japo kasema atajitahidi kuwaelewesha na yuko tayari kwa ndoa mwezi ujao.
Nifanyeje jaman maana sitak poteza mda wa any of us.
mke na mtoto ni vitu viwili tofauti wacha uwongoMkuu....
Kuoa mke mwenye mtoto sioni kama ni tatizo, lakini siku ukikua utaja jua hili ulisemalo.
Pia hapa hoja sidhani kama ni mke mwenye mtoto, sababu mtoto na mke ni vitu viwili tofauti kabisa.
Nadhani ungemshauri mletauzi asioe mke alie achika, hapo ningepata nini maana ya kile unacho kimaanisha.
mke na mtoto ni vitu viwili tofauti wacha uwongo
unampotosha na kumdanganya dogoKwani wewe ume elewaje?
unampotosha na kumdanganya dogo
Aiseeee.......
Unamlaumu mwewe, kipanga yuwesha kuku.....😕