Big Dy
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 467
- 541
Hi fellows,
Jamani nahitaji msaada wa mawazo,
Hivi karibuni baada ya kurudi Tanzania for good nimekua natafuta mke wa kutulia nae, hivi karibuni nilipata binti mmoja ambaye ndo kamaliza masomo yake ya sheria na ameshaanza kazi na according to her ananipenda na yuko tayari kuwa na mimi.
Ila tatizo namuona ni yuko so dedicated na kazi yake sana mpaka nahisi hayuko tayari kwa ndoa kwa sasa na katika pita pita zangu nikakutana na binti mwenye asili ya Asia japo kazaliwa hapa Tz ila yeye ni alishaolewa na kuachana na bwana wake na ana watoto wawili na ameshaniambia family yake hawapendi waswahili japo kasema atajitahidi kuwaelewesha na yuko tayari kwa ndoa mwezi ujao.
Nifanyeje jaman maana sitak poteza mda wa any of us.
Jamani nahitaji msaada wa mawazo,
Hivi karibuni baada ya kurudi Tanzania for good nimekua natafuta mke wa kutulia nae, hivi karibuni nilipata binti mmoja ambaye ndo kamaliza masomo yake ya sheria na ameshaanza kazi na according to her ananipenda na yuko tayari kuwa na mimi.
Ila tatizo namuona ni yuko so dedicated na kazi yake sana mpaka nahisi hayuko tayari kwa ndoa kwa sasa na katika pita pita zangu nikakutana na binti mwenye asili ya Asia japo kazaliwa hapa Tz ila yeye ni alishaolewa na kuachana na bwana wake na ana watoto wawili na ameshaniambia family yake hawapendi waswahili japo kasema atajitahidi kuwaelewesha na yuko tayari kwa ndoa mwezi ujao.
Nifanyeje jaman maana sitak poteza mda wa any of us.