goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
- Thread starter
- #21
Mimi mtanzania mkuu
Mimi mtanzania mkuu
Hujaelewa kitu gani mkuusjaelewa rudia tena
Kwa hiyo huwapendi waarabu.we oa tuu kwani nyie waarabu mna maana basi.
lazima tulipe kodi
Utakuwa umenisaidia mkuu.Kuna kaka yangu ni handsome balaa ataendana na huyo msichana
Tuma namba zake pm basi nimpe my kakaUtakuwa umenisaidia mkuu.
Hata mimi nashangaa wazee wananipa maelezo hayo yoteHamna undugu hapo baba yake na bibi yake zimekuwa nyingi mno undugu wa kuunga unga huo
Kumbe uko serious nikajua unataniaTuma namba zake pm basi nimpe my kaka
Nitanieeeeeeee weeee am more than serious......nasubiria namba hiyo nimpe my brother afanye kweliKumbe uko serious nikajua unatania
Habari zenu watu wazito,
Naamini mko salama,
Kuna jambo 1 linaniumiza kichwa kuhusu kumuoa dada yangu kwa kawaida hii aiji akilini kuoa ndugu yako wa karibu wala haileti picha nzuri kabisa.
Wakuu hii iko hivi..
Baba yake, baba yangu mimi alikuwa na shangazi yake ambaye mjukuu wa huyo shangazi aliolewa na mjomba wa upande wa mama yangu lakini akazaliwa mtoto wao wa nje ambaye baadaye akaja kumuoa dada wa baba yangu mimi na huyo mtoto akaja kuoa binamu wa baba yangu na mtoto wa jirani wa mdogo wake dada yake baba yangu alikuwa na watoto wakike mmoja akaolewa na upande wa waarabu na mwingine akaolewa ila hajapata mutoto lakini rafiki yake shangazi wa kaka yake baba yangu mimi ndio nimeambiwa nimuoe.
Sasa huyo nina muona kama dada yangu siwezi kumuoa kwa sababu ni moja wa upande wa ndugu zetu.
kuwapenda na kutowapenda waarabu haiusiani na comment yanguKwa hiyo huwapendi waarabu.
Ni kweli mkuu huu undugu sio wa kawaida ila nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi.Hakuna undugu hapa. Kama unampenda na labda hao wanaotaka umuoe wamempenda kwa tabia zake basi oa tu. Undugu huu unaouandika wewe ni wa kuunga na gundi shurti utie mate vinginevyo hata gundi itagoma kufanya kazi.
Nitanieeeeeeee weeee am more than serious......nasubiria namba hiyo nimpe my brother afanye kweli
Sawa hakuna tatizo nakutumia pmNitanieeeeeeee weeee am more than serious......nasubiria namba hiyo nimpe my brother afanye kweli
kuwapenda na kutowapenda waarabu haiusiani na comment yangu
lazima tulipe kodi