Ninakusubiri kwa hamu Sitta

Ninakusubiri kwa hamu Sitta

laigwenan

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2012
Posts
325
Reaction score
80
UKAWA walipotoka bungeni mwezi April ulituambia wanahongwa na Ujeruman, tukanyamaza kimya kwa sababu tuliwaelewa vyema akina Mbowe na wenzie, baadae Said Kubenea alipo fungua shauri mahakamani kutaka tafsiri ya kisheria ukatuambia tena kuwa Kubenea amehongwa na UKAWA pia tulinyamaza kwa sababu tunamuelewa sana Kubenea , Mh leo tumesomewa waraka makanisani kwetu juu ya bunge lako ,ninachokisubiri ni kujua kama viongozi wa dini yetu nao wamehongwa!!!!!!!!!!
 
sitta amejimaliza kisiasa mwenyewe asitafute mchawi
 
hao mapadri watakuwa wamehongwa na Papa Francis na si vinginevyo.
 
UKAWA walipo toka bungeni mwezi April ulituambia wanahongwa na Ugeruman,tukanyamaza kimya kwasababu tuliwaelewa vyema akina mbowe na wenzie,baadae Said Kubenea alipo fungua shauri mahakamani kutaka tafsiri ya kisheria ukatuambia tena kuwa Kubenea amehongwa na UKAWA pia tulinyamaza kwa sababu tunamuelewa sana Kubenea ,Mh .leo tumesomewa waraka makanisani kwetu juu ya bunge lako ,ninachokisubiri ni kujua kama viongozi wa dini yetu nao wamehongwa!!!!!!!!!!
Ndugu kanisani kwenu mnafanya siasa hakika kanisa lenu ni kanisa la shetani kabisa basi wambie viongozi wako jumapili ijayo waje kuwagawia kadi kabisa za chama chenu cha siasa.
 
sitta amejimaliza kisiasa mwenyewe asitafute mchawi
Kesho bandikeni bendera za vyama vyenu kanisani tujue kabisa kuwa sasa mnafanya siasa kanisani kwenu msitumie mwamvuli wa kanisa wahuni kabisa nyie.
 
Katiba niya Watanzania wote, wenye dini na wasio na dini, wenye vyama na wasio na vyama,vilema, wafugaji, wanafunzi nk. Wenye dini wanakutana misikitini, makanisani, vigangoni,madrasa nk hivyo kusomewa waraka huu makanisani ni sehemu mwafaka kwani ndo tunapokusanyika. CCm wanakutania Dodoma hivyo sio dhambi kwa wengine kujadili pia. Kwani CCT wamesema mwakilishi wetu kule ni mmoja tu kati ya majina tisa walliyopendekeza, Askofu mtetemela na wengine kule wamepitia nafasi wanazojuwa watawala tu
 
UKAWA walipo toka bungeni mwezi April ulituambia wanahongwa na Ugeruman,tukanyamaza kimya kwasababu tuliwaelewa vyema akina mbowe na wenzie,baadae Said Kubenea alipo fungua shauri mahakamani kutaka tafsiri ya kisheria ukatuambia tena kuwa Kubenea amehongwa na UKAWA pia tulinyamaza kwa sababu tunamuelewa sana Kubenea ,Mh .leo tumesomewa waraka makanisani kwetu juu ya bunge lako ,ninachokisubiri ni kujua kama viongozi wa dini yetu nao wamehongwa!!!!!!!!!!

Mkuu,wewe endelea kutafuta tonge la familia yako achana na 6 kwa sababu 6 hawezi kutoa neno naye ni nzee wa kanisa ushaambiwa.....!
 
UKAWA walipo toka bungeni mwezi April ulituambia wanahongwa na Ugeruman,tukanyamaza kimya kwasababu tuliwaelewa vyema akina mbowe na wenzie,baadae Said Kubenea alipo fungua shauri mahakamani kutaka tafsiri ya kisheria ukatuambia tena kuwa Kubenea amehongwa na UKAWA pia tulinyamaza kwa sababu tunamuelewa sana Kubenea ,Mh .leo tumesomewa waraka makanisani kwetu juu ya bunge lako ,ninachokisubiri ni kujua kama viongozi wa dini yetu nao wamehongwa!!!!!!!!!!

Atasema wamehongwa na Mungu, nami nitamwuliza Mungu amehongwa na nani......maana inaonekana ananyumbulisha kila kitu
 
Kale katabia kakugombanisha watanzania kwa Dini, zao, makabila yao, kanda wanazotoka nk kamekwama kabisa.

Unganyiko la CUF, Chadema na NCCR limeichanganya ccm haijuwi pakushika wala pakujificha sasa wametepeta ......
 
hivi mkuu unejiita Simiyu Yetu una akili au una ubongo tu. siasa zimekufanya ushindwe kufikiri kabisa
 
Last edited by a moderator:
Kesho bandikeni bendera za vyama vyenu kanisani tujue kabisa kuwa sasa mnafanya siasa kanisani kwenu msitumie mwamvuli wa kanisa wahuni kabisa nyie.

Mm!!! Unabidii, naona kila uzi upo katika harakati za kutetea wezi wa hela zetu. Nimesikia Lumumba siku hizi wanatoa cheo cha u senior. So buku 7 at their highest level!!!!

Ngoja nipite kwanza nitarudi baadae kidogo!!!!
 
Kesho bandikeni bendera za vyama vyenu kanisani tujue kabisa kuwa sasa mnafanya siasa kanisani kwenu msitumie mwamvuli wa kanisa wahuni kabisa nyie.

anza kwanza kumshauri lukuvi apeleke bendera za ccm kwenye lile kanisa alilohutubia siku ile kule mjini dodoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom