Ninakusubiri kwa hamu Sitta

Ninakusubiri kwa hamu Sitta

Kesho bandikeni bendera za vyama vyenu kanisani tujue kabisa kuwa sasa mnafanya siasa kanisani kwenu msitumie mwamvuli wa kanisa wahuni kabisa nyie.

Ungekuwa kidogo basi.Katiba ya nchi siyo suala la siasa. Na ukumbuke binadamu anayeamini Mungu basi huwa na heshima kwa viongozi wa dini yake , na atakapoambiwa kapige KURA ya hapana basi atafanya kama alivyoelekezwa na kiongozi wa dini yake..Kama hili hulijui basi mjue kiboko chenu kiko huko.
 
Ndugu kanisani kwenu mnafanya siasa hakika kanisa lenu ni kanisa la shetani kabisa basi wambie viongozi wako jumapili ijayo waje kuwagawia kadi kabisa za chama chenu cha siasa.
Simiyu yetu tuwe na uzalendo na nvhi...mimi ni ccm kwa mika 20 sasa tuache ushabiki usio na faida kwa nchi...hivi unona ni.sawa pesa zinazoteketea Dodoma wakati tunjua kabisa hakuna katiba mpya?wakati mwingine tuache uzandiki wa kichama tuwaonee.huruma wananchi..
 
Ndugu kanisani kwenu mnafanya siasa hakika kanisa lenu ni kanisa la shetani kabisa basi wambie viongozi wako jumapili ijayo waje kuwagawia kadi kabisa za chama chenu cha siasa.
Simiyu yetu tuwe na uzalendo na nvhi...mimi ni ccm kwa mika 20 sasa tuache ushabiki usio na faida kwa nchi...hivi unona ni.sawa pesa zinazoteketea Dodoma wakati tunjua kabisa hakuna katiba mpya?wakati mwingine tuache uzandiki wa kichama tuwaonee.huruma wananchi..
 
You are a fool do you think religion is separated from politics . keep on whoshiping and leave politics to heathens you will suffer and die poor and your faith will be affected forever.
 
Kesho bandikeni bendera za vyama vyenu kanisani tujue kabisa kuwa sasa mnafanya siasa kanisani kwenu msitumie mwamvuli wa kanisa wahuni kabisa nyie.

sijui utasali wapi mana makanisa yoooote tanganyika yanapinga usanii unaofanywa mjengoni. hivo tujue kuwa na ww ni mmoja wa wanao litumbukiza taifa letu (TANGANYIKA)shimoni. subiria mziki unakuja.. utajuta kujipendekeza sababu ya buku7 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom