Ninakumbushia Gawio langu la Samia Bond

Ninakumbushia Gawio langu la Samia Bond

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
1,289
Reaction score
2,190
Niliwekeza kwenye Samia Insfrastructure Bond na maelekezo ya uwekezaji ni kuwa kila mwekezaji atawekewa gawio lake kila baada ya miezi mitatu. Miezi mitatu tayari imefika na hata kupita.

Ninaomba niwekewe gawio langu kama uwekezaji ulivyoelekeza.

Nawasilisha.
 
Niliwekeza kwenye Samia Insfrastructure Bond na maelekezo ya uwekezaji ni kuwa kila mwekezaji atawekewa gawio lake kila baada ya miezi mitatu. Miezi mitatu tayari imefika na hata kupita.

Ninaomba niwekewe gawio langu kama uwekezaji ulivyoelekeza.

Nawasilisha.
Una uhakika wa kukugawia gawio lako wako hapa JF kwenye Jukwaa la Siasa?
 
Niliwekeza kwenye Samia Insfrastructure Bond na maelekezo ya uwekezaji ni kuwa kila mwekezaji atawekewa gawio lake kila baada ya miezi mitatu. Miezi mitatu tayari imefika na hata kupita.

Ninaomba niwekewe gawio langu kama uwekezaji ulivyoelekeza.

Nawasilisha.
Utapata wiki hii au ijayo mwanzoni. Haitazidi tarehe 17 July
 
"No one shall be uncircumcised in a land where the knife never sleeps."
 
Back
Top Bottom