Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Wakuu ninakataa kwa herufi kubwa kabisa kuwa ccm hakina vijana wasomi
Ccm kina watoto wa viongozi ambao kichwani ni hewa tupu wapo wengine juzi tumeona hawawezi kujieleza wala kujenga hoja kama Godfrey mgimwa na Ridhione kikwete
Vijana wasomi wapo cdm na ukawa kwa mfano kijana gani wa ccm utamfananisha na Mnyika?yupi utamweka na Lissu?nani ccm utamweka na Lipumba?
Na wengine wengi makamanda mtawataja
Ninakataaaaa ccm hamna vijana wasomi ni waropokaji tu!
Ccm kina watoto wa viongozi ambao kichwani ni hewa tupu wapo wengine juzi tumeona hawawezi kujieleza wala kujenga hoja kama Godfrey mgimwa na Ridhione kikwete
Vijana wasomi wapo cdm na ukawa kwa mfano kijana gani wa ccm utamfananisha na Mnyika?yupi utamweka na Lissu?nani ccm utamweka na Lipumba?
Na wengine wengi makamanda mtawataja
Ninakataaaaa ccm hamna vijana wasomi ni waropokaji tu!