Ninajiunga na CHADEMA

Ninajiunga na CHADEMA

Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.

Wewe duchi, CCM mlisema mna propaganda nyingi ambazo bado hamjazitumia. Huenda haya mabomu ni moja kati ya hizo propaganda za CCM. Lengo la kutupa mabomu ni kuwatisha watanzania. Tumeshazijua mbinu zenu. Endeleeni kutumia hizo propaganda na kuua watanzania wasio na hatia. Ila mkumbuke 2015 ndio mwisho wenu
 
Ninapenda kutangazia wanaccm wote akiwemo katibu wa uenezi na itikadi ndugu Nape Naunye kuwa mm MAMBOKI leo nimeamua kujiunga na CHADEMA. Na kadi yao ya ccm nimempa mjumbe wangu. Kuna mambo ambayo yamenifanya nione serikali ya ccm haifai ambazo ni 1:tukio la shambulio la bomu arusha na kauli mbaya za wanaccm 2:uongozi mbaya wa ccm 3:rushwa ndani ya chama 4:kupanda kwa gharama za maisha na mengine mengi USHAURI Ningependa kuwashauri vijana wenzangu ambao wapo ndani ya chama cha mapinduzi kuwa wamepotea mkombozi wa taifa hili ni CHADEMA . MWISHO NDUGU NAPE ACHANA NA SIASA ZA KIJINGA ZINAZOFANYWA NA CCM WAOMBE RADHI CHADEMA NA UJIUNGE NA CHADEMA.
Na mimi ninaomba kadi mara moja ikiwa Mh. Mnyika uko humu nielekeze namna ya kuipata hiyo kadi ya uanachama.
 
Back
Top Bottom