Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Jambaaa sana
punguza kula chakula kingiNaombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha Alfajiri.
Sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.
Naombeni ushauri..
Dada unapenda starehe ya kufilwa au mwenzetu unaingiliwa usiku na Kijana Popobawa bila kujijuwa? Maana hizi ndizo side effect zake.Naombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha Alfajiri.
Sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.
Naombeni ushauri..
Jaribu kuwa na maneno ya stara ndugu.....muda mwingine ni maradhi tu.... dunia ina mengiDada unapenda starehe ya kufilwa au mwenzetu unaingiliwa usiku na Kijana Popobawa bila kujijuwa? Maana hizi ndizo side effect zake.
Upo sahihi ila sikuuliza kwa kukukejeli labda umechukulia vibaya tu. Nimeuliza vile makusudi nikijuwa huo mchezo (kufilwa) karibia kila demu na baadhi ya vijana wa kiume wengi tu hapo Dar siku hizi wanapenda sana, yaani imekuwa kama fashion fulani hivi.Jaribu kuwa na maneno ya stara ndugu.....muda mwingine ni maradhi tu.... dunia ina mengi
Subwoofer, harufu haikukeri?Naombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha Alfajiri.
Sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa.
Naombeni ushauri..
Ni kweli ni jambo baya na nyakati hizi naona watu wamelifanya lionekane la kawaida kwa watu kukithiri kulifanya..... lakini neno "KUFILWA" limekaa vibaya hasa kuli address hadharani...... lakini yote kwa yote ujumbe umemfikia ingawa kwa njia ngumu.....Upo sahihi ila sikuuliza kwa kukukejeli labda umechukulia vibaya tu. Nimeuliza vile makusudi nikijuwa huo mchezo (kufilwa) karibia kila demu na baadhi ya vijana wa kiume wengi tu hapo Dar siku hizi wanapenda sana, yaani imekuwa kama fashion fulani hivi.