Ninaiona Jamuhuri Ya Watu Wa Pemba Ileee...

Ninaiona Jamuhuri Ya Watu Wa Pemba Ileee...

Zanzibar ni moja na watu wake daima watakuwa wamoja licha ya fitina nyingi zinopandikizwa na Watanganyika eti kwa kuulinda Muungano kharamu, na hata kama ipo, migogoro ya Wazanbar ni yao wenyewe Watanganyika mnaumia nini?

Nyinyi na sisi nani watu wa fitna? Hebu kumbuka vyama vilivyokuwepo kabla ya muungano:
ASP: Afro-shirazi party; ZPPP: Zanzibar and Pemba People Party, Muslim association ....hapo kulikuwa na umoja kweli?
 
Kama ni maandishi ya Mungu basi hapanashaka, ila kama ni maandishi ya maluuni Nyerere basi yamepotea njia, maana Zanzibar ilikuwepo kabla ya Muungano na itaendelea kuwepo tena nje ya Muungano, na huyo baba yenu alosema upuuzi huo, ameondoka yeye lakini Zanzibar ameiacha pale pale...na huo ndio utukufu wa Zanzibar
Cha kushangaza ni kuwa wazanzibari ndiyo mmekuwa watetezi wakuu wa serikali mbili na muungano, sisi watanganyika hatutaki kabisa huu muungano na lazima tutauvunja na mlioko huku bara muondoke mrudi kwenu.Tumechoka na mitusi yenu na dharau
 
Unadhani mkijitenga kwa kuukataa muungano sisi watanganyika tunashida nalo! Bali dhambi ya kujinga itaendelea mtadai jamhuri ya Pemba mkimaliza mtauwana Wapemba wenyewe kwa wenyewe hafu hapo ndo mtakuja kuutaka Muungano hata wa serikali 1, Mifano tuniona South Sudani wamejitenga lakini dhambi inaanza kuwatafuna, wote wale ni wajaluo kiasili(wadinka & Nuer). Ombeni yasiwafike.

Baada Ya Katiba Ya Zanzibar Kutambulika Rasmi Katka Katiba Ya Tanzania Kwa Kuitambua Kua Zanzbar Ni Nchi. Waunguja Weng Wanafurahia Hilo Na Wengne Hawautak Muungno Lakn Naiona Jamuhur Ya Watu Wa Pemba Inakuja Kwan Waunguja Huwakebeh Wapemba Ati Cku Ya Mapnduz Walkua Wamelala,
 
Unajiadai hata hizo nguvu za kutamba humu JF zinatokana na vykula vinavyotoka Tanganyika Mnakula mnavyotaka mkiwa huku Tanganyika na sasa Unaanza kututolea mashuzi ya kejeli! Ondokeni kwenye muungano muone mtakavyofukuzana kurudishana ktk visiwa vya huko makwenu,

Zanzibar ni moja tuu, walobadilika ni watawala na mifumo yao na hiyo ndio Zanzibar yetu tuitakayo, lakin nikujuze ndugu yangu Mtanganyika, Wazanzinar tulikua hatuja lala bali tulinogewa na utawala wa hakki uliongozwa kwa misingi ya Kizanzibar tena bila ya ubaguzi na ndio maana mababu zenu waliikimbia Tanganyika yao kwa kutozwa kodi ya kichwa na wakapokelewa Zanzibar na wakapewa haki zote kama RAIA wengine wa dola ya Zanzibar....
 
Unajiadai hata hizo nguvu za kutamba humu JF zinatokana na vykula vinavyotoka Tanganyika Mnakula mnavyotaka mkiwa huku Tanganyika na sasa Unaanza kututolea mashuzi ya kejeli! Ondokeni kwenye muungano muone mtakavyofukuzana kurudishana ktk visiwa vya huko makwenu,

hahee, Watanganyika bhana, kwani ivyo vyakula unavyosema tunakula buree, soo mtatuuzia wenyewe kwa njaa zenuu !! lakini hebu jiulize kijana kabla ya muungano Wazanzibar tulikua hatulii? au ndio umeishiwa la kusema?
 
Nyinyi na sisi nani watu wa fitna? Hebu kumbuka vyama vilivyokuwepo kabla ya muungano:
ASP: Afro-shirazi party; ZPPP: Zanzibar and Pemba People Party, Muslim association ....hapo kulikuwa na umoja kweli?

kama kweli unaamini vyama na asasi za kiraia ndio chanzo cha mipasuko basi hilo sio kwa Zanzibar tuu, yametokea hadi Kenya na sasa tunawasubiria Tanganyika majirani zetu naona wanayapenda maana haweshi kuyajadili kwa upande wa pili....!!
 
Wakati mnapata Uhuru idadi ya watu mlikuwa chini ya laki 5(500,000.), Na ukumbuke mnakadiriwa kuwa Wazanzibar karibu laki 49(400,000) mnaishi na kufanya biashara Tanganyika, hivyo hiyo idadi inaweza ikawalisha(namaanisha kuwaletea mazao ya vyakula) wawalishe watu karibu mil 2 mliopo Visiwani. Na siyo chakula tu hata pato lenu pia linachangiwa ni hii idadi ya wenzenu waliopo huku Tanganyika.

hahee, Watanganyika bhana, kwani ivyo vyakula unavyosema tunakula buree, soo mtatuuzia wenyewe kwa njaa zenuu !! lakini hebu jiulize kijana kabla ya muungano Wazanzibar tulikua hatulii? au ndio umeishiwa la kusema?
 
kama kweli unaamini vyama na asasi za kiraia ndio chanzo cha mipasuko basi hilo sio kwa Zanzibar tuu, yametokea hadi Kenya na sasa tunawasubiria Tanganyika majirani zetu naona wanayapenda maana haweshi kuyajadili kwa upande wa pili....!!

alimradi umekubali kuwa fitna zilikuwapo kabla ya muungano.
 
hahee, Watanganyika bhana, kwani ivyo vyakula unavyosema tunakula buree, soo mtatuuzia wenyewe kwa njaa zenuu !! lakini hebu jiulize kijana kabla ya muungano Wazanzibar tulikua hatulii? au ndio umeishiwa la kusema?
Kama konokono mnakula,najua hamtakufa njaa na kwa kuwa kupaka hina ndo zenu kila rakheri vipi msimu wa shokishoki umewadia?
 
Kama kuna kitu ambacho kitanitoa CCM kwa kufukunzwa basi ni huu muungano! Natamani uvunjike hata leo jioni,mijitu inashindia bofulo na urojo lakini mashuzi bara!
 
Udn Upo Wapi Jamii Ya Muungano Lazma Ijue Kuwa Nje Ya Muungano Kuna Wao Waunguja Cc Wapemba Leo hii N Sis Watanganyka Wao Wazanzbar Tafakar Eny Mnaochukia Muungan

Kwani yakitoke hayo wewe na Tanganyika yenu munaathirika wapi...? kama ni mapigano, mauwaji na yoyote yatayotokea wahanga ni Wazanzibar sasa ww yanakuuma nini ikiwa Wazanzibar wenyewe ndio wanayatafuta, ucjitie usamaria kwa kuulinda muungano haram u....na kama kuukataa muungano ndio yatokee hayo, ni bora tuuwane wenyewe kuliko kuendelea na uharamia huuu!!
 
Kama kuna kitu ambacho kitanitoa CCM kwa kufukunzwa basi ni huu muungano! Natamani uvunjike hata leo jioni,mijitu inashindia bofulo na urojo lakini mashuzi bara!

Ugali, Makande, Mtori pia tunakula cku hizi, so ndio zenyewe hizo za Muungano..au vipi mwenzangu?
 
Mara nyingi sisi binadamu hushabikia vitu vibaya kuliko kushabikia vitu vizuru, mara.nyingine tujitahidi kubomoa kuliko kujenga.
 
Mara nyingi sisi binadamu hushabikia vitu vibaya kuliko kushabikia vitu vizuru, mara.nyingine tunajitahidi kubomoa kuliko kujenga ,tuache ushabiki usio na maana.
 
Nawashangaa kweli nyinyi wazee wa urojo.. Ngoja muungano uvunjike hata jioni ya leo kuna wapemba wawili nitawatoa nduki hapa dah wanatumia ndumba sana... Watanganyika wenzangu naamini tutasaidiana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nawashangaa kweli nyinyi wazee wa urojo.. Ngoja muungano uvunjike hata jioni ya leo kuna wapemba wawili nitawatoa nduki hapa dah wanatumia ndumba sana... Watanganyika wenzangu naamini tutasaidiana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Duhh!yaani wewe ni mwisho kwa chuki zidi ya waz'br,yaani wale wachina wanao fyeka tembo wenu wala huwafukuzi,lakini mzanzibar akidai haki zake kwako wewe unamjengea chuki,au una ujomba na wachinaaa
 
serikali tatu za nini 'watanganyika' tunataka moja tu.

Moja ipi?kama ni tanganyika basi mtakuwa mambulula yaani utaifa wenu mumeumeza halafu mmeutapika,mkuu fahamu kuwa zanzibar haifutiki.
 
Mimi huwa narudia kusema watanganyika aslimia75 wamekosa malezi ya baba na mama, wengi wao wamekulia kwenye uchokora mpk uwazir, uchokoraa mpk msanii mkubwa, tutegemee nn? hawawezi kuwa na dini wala imani, Nasema Tanganyika bila ya Muungano either itazaa waasi au vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Huwezi kumuona binadamu mwenzako amepata ajali wewe ndo ukammaliza ili upate uibe. badilikeni watanganyika mambo munayofanya hakuna sehemu yoyote
 
Mguu pande,mguu sawa,we mahamudu nani kakwambia uvute bangi? basi tangulia mwenyewe nikukute polisi. Mdebwedo zenji
 
Back
Top Bottom