sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Habar za jumapili wadau mliopo jijin DAR,
LEO nimejiwa na wasiwasi, hvi kamati ya ulinzi ya mkoa ambayo Ndugu, yangu Paulo Makonda,ina imani nae tena kuendelea kufanya nae kazi baada ya kumshitaki SIRRO KWA waziri mkuu?
Jana nilikutana na jamaa yangu Shushu, mzoefu yupo pale kwa mkuu wa Mkoa, jamaa anasema yeye hataki hata kumuona huyu kijana maana ana adabu na watu wazima, ''we si umeona juzi alivyo mfanyia mzee wetu Sirro, na sikufichi miongoni mwa wapiga kazi wazuri na wasafi ndani ya jeshi la police, sirro alikuwa safi sana huwezi mfanannisha na TIBAIGANA, KOVA NA wengine''
Kama hali ipo hivi, najiuliza Kamati ya ulinzi iko imara kiasi gani? ulinzi unaitaji ''unity''
hawa watu sio wamoja tena.
Je SIRRO akitangazwa kwa yuko safi hakuchukua rushwa, je atakuwa tayari kufanya kazi na MAKONDA?
DR. MAGUFULI FANYA HIVI!
kWANZA hama mkoa haraka sana nenda dodoma ili uendelee kuwa salama.ulinzi wa dar umeyumba.
pili mwamishe Makonda maana huwezi sema uamishe kamati nzima ya ulinzi wa mkoa, ni gharama sana kuliko kumwamisha mtu mmoja.
Tatu; Tengeneza utaratibu wa kulinda heshima za watu waiio tumikia taifa kwa muda mrefu na bado wanatumikia taifa, mtu kama sirro hawezi na hatakiw kujibisha hadharani kama na kijana kama makonda ambae ni mtoto wa kumzaa.
Mwisho Mkuu wa kaya naendelea kukupongeza kwa kuendeleza uteuzi wako mzuri, ila Ajira kwa vijana wetu lini( hako nilikuwa nachomekea kidgo mkuu ila kama kamekufikia kajibu tu!
LEO nimejiwa na wasiwasi, hvi kamati ya ulinzi ya mkoa ambayo Ndugu, yangu Paulo Makonda,ina imani nae tena kuendelea kufanya nae kazi baada ya kumshitaki SIRRO KWA waziri mkuu?
Jana nilikutana na jamaa yangu Shushu, mzoefu yupo pale kwa mkuu wa Mkoa, jamaa anasema yeye hataki hata kumuona huyu kijana maana ana adabu na watu wazima, ''we si umeona juzi alivyo mfanyia mzee wetu Sirro, na sikufichi miongoni mwa wapiga kazi wazuri na wasafi ndani ya jeshi la police, sirro alikuwa safi sana huwezi mfanannisha na TIBAIGANA, KOVA NA wengine''
Kama hali ipo hivi, najiuliza Kamati ya ulinzi iko imara kiasi gani? ulinzi unaitaji ''unity''
hawa watu sio wamoja tena.
Je SIRRO akitangazwa kwa yuko safi hakuchukua rushwa, je atakuwa tayari kufanya kazi na MAKONDA?
DR. MAGUFULI FANYA HIVI!
kWANZA hama mkoa haraka sana nenda dodoma ili uendelee kuwa salama.ulinzi wa dar umeyumba.
pili mwamishe Makonda maana huwezi sema uamishe kamati nzima ya ulinzi wa mkoa, ni gharama sana kuliko kumwamisha mtu mmoja.
Tatu; Tengeneza utaratibu wa kulinda heshima za watu waiio tumikia taifa kwa muda mrefu na bado wanatumikia taifa, mtu kama sirro hawezi na hatakiw kujibisha hadharani kama na kijana kama makonda ambae ni mtoto wa kumzaa.
Mwisho Mkuu wa kaya naendelea kukupongeza kwa kuendeleza uteuzi wako mzuri, ila Ajira kwa vijana wetu lini( hako nilikuwa nachomekea kidgo mkuu ila kama kamekufikia kajibu tu!