Hae Mo-Su
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 474
- 989
te teh eh hapa hachomoi mtu ningeitumia sana hii kama mambo yangekua hayaja nyookaNimeshaitumia gia hiyo pale kiwanda cha cocacola mwenge kumuona HR na nilifanikiwa wewe unavaa smart tu ,ukifikaa tu pale unasema na shidah ya kuonana Fulani onyesha confidence ya hali ya juu ikiwezekana vaa Pete ya ndoa , beba kama notebook tatu hivi kubwa kubwa na mafile kadhaa ,kama una suti weka na moka ng'alisha vizuri kma huna gari tafuta funguo nyinginyingi kama za gari hivi weka kiunoni zining'inie miwani safiii kabisa tafuta kitambulisha chenye kamba weka shingoni ionekana kamba tu .ukifika jifanye kama uko busy kidogo ukifika omba kitambu cha mahudhurio hicho muhimu then omba kuonana na Fulani kwa cheo chake akikuuliza tu unashida nae gani jibu kwa kifupi ni confidential tulia usiongee kitu .kama akikwambua unaapointment nae we weka poz kidogo mwambie tu kama hayupo naomba nisaini niondoke . halo watajua wewe so wamchezo mchezo ni MTU wa shughuri yako .