Ninahitaji nafasi ya kufanya 'Internship'. Nimesoma Bsc In Telecommunication CCNA(R&S) Certificate

Pia Kuna njia ya kuwavizia maboss nje ya ofisi sijui unaifahamu hiyo! Kuna watu tumeshapewa kazi tukiwa maeneo ya Bar na kumbi za starehe! Kila boss ukimkuta ofisini anajifanya siriaz kufuata taratibu za kiofisi na hayo wanayokufanyia wadada wa mapokezi siyo wao bali ni utaratibu wanaopewa na hao ma HR na mameneja. Mvizie nje ya ofisini ikiwezekana hata ukijua nyumbani kwake ni wapi jifanye kwenda kumtembelea mtaongea vizuri na kama kuna kazi unaweza kuikwaa
Nitajaribu
 
Sasa mkuu internship ya nini kwa maujuzi yote hayo ya tekelinalokujia?

Hapo tafuta office yako mwenyewe kisha apply mautundu tu maana kwa qualifications ulizotaja lazima unajua mengi
 
Sasa mkuu internship ya nini kwa maujuzi yote hayo ya tekelinalokujia?

Hapo tafuta office yako mwenyewe kisha apply mautundu tu maana kwa qualifications ulizotaja lazima unajua mengi
Hizo labs zote nimezifanya kwa kutumi software na si real device na hapo ndio ugumu unapoanzia,kama ningekuwa nishafanya configuration katika real device ingekuwa rahisi kujitegemea mimi kama mimi
 
Nilikuwa naomba nafasi ya internship (bila malipo),katika kampuni hizi za networking nina degree ya Telecommunication engineering na vile vile nina CCNA certificate (Routing and Switching).Vitu vingine ninavyovijua
- LAN switching configuration and troubleshooting.

.(VLAN,Intervlan,DTP,VTP,Etherchannel (PAgP,LACP))

-Configuration and troubleshooting of routing protocols (Static route, RIP, EIGRP, OSPF,
ISIS, and BGP).

-NAT configuration and troubleshooting (Dynamic and Static).

-Routing Distribution configuration and troubleshooting.

-Configuration and troubleshooting of MPLS-VPN (mVPN, MPLS-TE).

-L2VPN (Frame relay over MPLS, PPP over MPLS, HDLC over MPLS and Ethernet over
MPLS (VC-type 4 and VC-type 5)).

-DMVPN (IPSec, NHRP) configuration and troubleshooting.

-Redundancy and load balance (HSRP, VRRP, and GLBP) configuration and
troubleshooting.

-Multicast configuration and Troubleshooting (IGMP, BSR, PIM SPARSE-MODE AND
DENSE-MODE).

-Frame-relay configuration and troubleshooting.

-Access control standard, extended, reflexive, context based access control, Time-based
ACL, Dynamic ACL and ZBF configuration and troubleshooting.

-VPN configuration and troubleshooting.

-Wireless configuration.

-ASA firewall configuration and troubleshooting (NAT configuration, IPSec VPN and
configuring firewall failover (active/standby failover, active/active failover), single
context and multiple contexts).

Vyote hivi nimeconfigure kwa kutumia software (GNS3 ,packet tracer).
Umeshawaza kujiajiri? Ulichosoma ni rahis kujiajiri
 
Nilikuwa naomba nafasi ya internship (bila malipo),katika kampuni hizi za networking nina degree ya Telecommunication engineering na vile vile nina CCNA certificate (Routing and Switching).Vitu vingine ninavyovijua
- LAN switching configuration and troubleshooting.

.(VLAN,Intervlan,DTP,VTP,Etherchannel (PAgP,LACP))

-Configuration and troubleshooting of routing protocols (Static route, RIP, EIGRP, OSPF,
ISIS, and BGP).

-NAT configuration and troubleshooting (Dynamic and Static).

-Routing Distribution configuration and troubleshooting.

-Configuration and troubleshooting of MPLS-VPN (mVPN, MPLS-TE).

-L2VPN (Frame relay over MPLS, PPP over MPLS, HDLC over MPLS and Ethernet over
MPLS (VC-type 4 and VC-type 5)).

-DMVPN (IPSec, NHRP) configuration and troubleshooting.

-Redundancy and load balance (HSRP, VRRP, and GLBP) configuration and
troubleshooting.

-Multicast configuration and Troubleshooting (IGMP, BSR, PIM SPARSE-MODE AND
DENSE-MODE).

-Frame-relay configuration and troubleshooting.

-Access control standard, extended, reflexive, context based access control, Time-based
ACL, Dynamic ACL and ZBF configuration and troubleshooting.

-VPN configuration and troubleshooting.

-Wireless configuration.

-ASA firewall configuration and troubleshooting (NAT configuration, IPSec VPN and
configuring firewall failover (active/standby failover, active/active failover), single
context and multiple contexts).

Vyote hivi nimeconfigure kwa kutumia software (GNS3 ,packet tracer).
Fika MAKTECH,hii kampuni IPO africana,Dar es salaam,kama unatoka bagamoyo,ukishuka Africana,ofisi zao,zinaonekana,upande huo huo,ni ghorofa,lina mitambo ya mawasiliano juu.
 
Nimeshatuma kampuni kama mbili,ila kuna baadhi ya kampuni (nilizo jaribu kutuma) ukipeleka barua yako, unachoambulia ni kejeli na maneno ya kukatishana tamaa kutoka kwa walinzi na wasichana wa mapokezi ,sometimes unalazimisha wanaipokea lakini unaona kabisa hawatoifanyia kazi .Kama kungekuwa na njia rahisi (hata email) ya kukutana na HR nahisi ingesaidia lkn wale walinzi na mabinti sina hamu nao.kuhusu Labs bado naendelea kufanya sana routing ,switching na security na hivi sasa nimeshadownload vitabu kwa ajili ya kusoma python na juniper.
Elimu yako ni nzuri sanaa. Hebu cheki kwenye makampuni ya wauza magari kule Dubai watu kama nyinyi mnahitajika sanaaaa ingia kwenye mtandao mkuu ni kutuma CV tu online ilauwe updates kimawasiliano mda wowote wanaweza kukupigia simu .
 
Ukianza kujenga negative attitude hutafanikiwa kitu cha msingi unapaswa kujiamini,hii trick nimeitumia na wengi nimewashauri ikawasaidia
kuna rafiki yangu alishawahi kwenda kuonana na Dr Charles Kimei kwa sababu ya kuomba field tu
Nimeshaitumia gia hiyo pale kiwanda cha cocacola mwenge kumuona HR na nilifanikiwa wewe unavaa smart tu ,ukifikaa tu pale unasema na shidah ya kuonana Fulani onyesha confidence ya hali ya juu ikiwezekana vaa Pete ya ndoa , beba kama notebook tatu hivi kubwa kubwa na mafile kadhaa ,kama una suti weka na moka ng'alisha vizuri kma huna gari tafuta funguo nyinginyingi kama za gari hivi weka kiunoni zining'inie miwani safiii kabisa tafuta kitambulisha chenye kamba weka shingoni ionekana kamba tu .ukifika jifanye kama uko busy kidogo ukifika omba kitambu cha mahudhurio hicho muhimu then omba kuonana na Fulani kwa cheo chake akikuuliza tu unashida nae gani jibu kwa kifupi ni confidential tulia usiongee kitu .kama akikwambua unaapointment nae we weka poz kidogo mwambie tu kama hayupo naomba nisaini niondoke . halo watajua wewe so wamchezo mchezo ni MTU wa shughuri yako .
 
Nimeshaitumia gia hiyo pale kiwanda cha cocacola mwenge kumuona HR na nilifanikiwa wewe unavaa smart tu ,ukifikaa tu pale unasema na shidah ya kuonana Fulani onyesha confidence ya hali ya juu ikiwezekana vaa Pete ya ndoa , beba kama notebook tatu hivi kubwa kubwa na mafile kadhaa ,kama una suti weka na moka ng'alisha vizuri kma huna gari tafuta funguo nyinginyingi kama za gari hivi weka kiunoni zining'inie miwani safiii kabisa tafuta kitambulisha chenye kamba weka shingoni ionekana kamba tu .ukifika jifanye kama uko busy kidogo ukifika omba kitambu cha mahudhurio hicho muhimu then omba kuonana na Fulani kwa cheo chake akikuuliza tu unashida nae gani jibu kwa kifupi ni confidential tulia usiongee kitu .kama akikwambua unaapointment nae we weka poz kidogo mwambie tu kama hayupo naomba nisaini niondoke . halo watajua wewe so wamchezo mchezo ni MTU wa shughuri yako .
We ni balaa.
 
Nawajua haya wanajishughulisha na minara zaidi,nishatumaga CV zamani wapo Africana.
Elimu yako ni nzuri sanaa. Hebu cheki kwenye makampuni ya wauza magari kule Dubai watu kama nyinyi mnahitajika sanaaaa ingia kwenye mtandao mkuu ni kutuma CV tu online ilauwe updates kimawasiliano mda wowote wanaweza kukupigia simu .
 
pole mkuu...., nakutia moyo, hao wanaokukejel wasikukatishe tamaa hata kdg, wote wanaofanya hivo ni wale ambao hawajiwezi na hata nafasi walizonazo wamezipata kimagumashi, Wewe songa mbele. nenda sehem nyingine na nyingine tena, mtu akikujibu vibaya tabasamu moyoni ondoka with all energy nenda sehem zingine.

Vitu unavyovijua hawajui watu wengi, ni vile tu hujakutana na bahati yako, Usikate tamaa.

Solitary...........!!!!!!!
 
Tatizo sijawahi kufanya kwa kutumia vifaa halisi,bali nimetumia software kufanya simulation na ndio maana inakuwa ngumu kujiajili.
Sioni tatizo kubwa hapo, nimepita njia kama yako!
There is a very thin line between Emulation(gns3) na Real Cisco devices. IOS unayotumia kwenye gns3 is the same kwenye real devices. Most network engineers spend their time kwenye IOS CLI rather than Cabling,racking and stacking,replacing power supplies/fans on routers/switches, IOS/firware upgrades, Licencing etc. Hardware knowledge utaipata ukianza job na kwa uwezo wako unaweza kuanza kazi kama junior network engineer, na ukafanya kazi vizuri tu. Kuna watu wanaanza kazi wajawahi kuona hata IOS CLI inafananaje. Naomba utuoe hiyo nadharia, we uko vizuri tu. Swala la msingi ni KUJIAMINI kuwa unajua unachokifanya
 
Nilikuwa naomba nafasi ya internship (bila malipo),katika kampuni hizi za networking nina degree ya Telecommunication engineering na vile vile nina CCNA certificate (Routing and Switching).Vitu vingine ninavyovijua
- LAN switching configuration and troubleshooting.

.(VLAN,Intervlan,DTP,VTP,Etherchannel (PAgP,LACP))

-Configuration and troubleshooting of routing protocols (Static route, RIP, EIGRP, OSPF,
ISIS, and BGP).

-NAT configuration and troubleshooting (Dynamic and Static).

-Routing Distribution configuration and troubleshooting.

-Configuration and troubleshooting of MPLS-VPN (mVPN, MPLS-TE).

-L2VPN (Frame relay over MPLS, PPP over MPLS, HDLC over MPLS and Ethernet over
MPLS (VC-type 4 and VC-type 5)).

-DMVPN (IPSec, NHRP) configuration and troubleshooting.

-Redundancy and load balance (HSRP, VRRP, and GLBP) configuration and
troubleshooting.

-Multicast configuration and Troubleshooting (IGMP, BSR, PIM SPARSE-MODE AND
DENSE-MODE).

-Frame-relay configuration and troubleshooting.

-Access control standard, extended, reflexive, context based access control, Time-based
ACL, Dynamic ACL and ZBF configuration and troubleshooting.

-VPN configuration and troubleshooting.

-Wireless configuration.

-ASA firewall configuration and troubleshooting (NAT configuration, IPSec VPN and
configuring firewall failover (active/standby failover, active/active failover), single
context and multiple contexts).

Vyote hivi nimeconfigure kwa kutumia software (GNS3 ,packet tracer).
Umesoma programing mkuu?
 
Back
Top Bottom