Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Makanisa mengi ya kiroho ukimpenda binti unaenda kwa mchungaji umuulize kama ana mtu tayari, sasa huoni mchungaji anaweza chezesha karata vibaya, kumbuka huruhusiwa kumwambia binti kama unampenda mpaka go ahead ya mchungaji.
Wana mambo ya ajabu sana, utasikia mungu kamfunulia