Mweeee!!!!!!! hivi kwa TZ elimu wastani ni ipi????????
Yani mwenye Pass kwenye GPA ya form four.
Ni mwanaume mrefu, 6 feet, mweusi wastani na mwembamba, nina elimu wastani, ni mkristo safi,
NAHITAJI MPENZI TOKA MIKOA YA PWANI AU DAR, ; mweupe, maji ya kunde au brown inayong'aa, mkristo na elimu wastani au zaidi, my number is 0659 288 360, if we will agree, we will plan to live together and marriage,
Mweeee!!!!!!! hivi kwa TZ elimu wastani ni ipi????????
Mweeee!!!!!!! hivi kwa TZ elimu wastani ni ipi????????
Zilianikwa kwenye engine oilAisee!!!! Kumbeee.
Hivi wewe mwanaume tangu pasaka nguo hazijakauka tu??????
Daraja la tatu ( C) japo anajua mwenyewe, Mkristo safi anatafuta mke humu badala ya kwenda kwa Mchungaji kanisani achaguliwe mke.
Zilianikwa kwenye engine oil
Njoo unikomboe.................Weeee!!!!!!! basi hongera
Njoo unikomboe.................
Acha ukengeufu... ukirudi nibeep LOLSema fasta umefungiwa wapi nije, niko hapo morocco kwenye mataa nakuja kumuuzia kesi fasta si unajua wk end tayari????????
Acha ukengeufu... ukirudi nibeep LOL
Aisee!!!!!!!!!! kwani mkristo safi anachaguliwa mke na mchungaji???????????