Ninahitaji mchumba wa kiume

Ninahitaji mchumba wa kiume

Mm mfupi sasa nishakukosa ila kwingine tuko pamoja
 
Mimi ni msichana
Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 29-35
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm
NB: wale wanaodharau dada mwenye mtoto please save your comments.
Shukrani..
Inamaana mpka umefikisha miaka 25 hujawahi kutongozwa,na huyu aliyekuzalisha kwanini usiishi nae
 
Mimi ni msichana
Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 29-35
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm
NB: wale wanaodharau dada mwenye mtoto please save your comments.
Shukrani..
Mwanao ana umri gani?
 
Mimi ni msichana
Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 29-35
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm
NB: wale wanaodharau dada mwenye mtoto please save your comments.
Shukrani..
Nyie dada zangu wa kichagga mna madoido sana
 
Uliposema mchaga ndo umekimbiza wengi dada. Anyways all da best
 
Mimi ni mkinga ninasifa zote ulizozitaja niko tayale call:0712635694::
 
Mchaga hooo my god,hapo uwiano wa kifua makalio na miguu ni 4:2:1
 
Kumbe una mtoto? Basi that thing "K" is too much used so im not interesting.....
 
Kumbe una mtoto? Basi that thing "K" is too much used so im not interesting.....
Wewe hiyo "M" yako haijatumika?
Huna mtoto/watoto?
Acheni basi hizi mambo wanaume wachache mlio wajinga.
Hivi ni kipi bora kati ya kuwa na mwanamke mwenye mtoto au aliyechoropoa mimba zaidi ya 6?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom