Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

hayo ndio maneno.ngoja na wewe nikuandalie plain cheque niandike jinala lako tu alafu utaniambia niandike kiasi gani kitakacho kutosha

hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
castle lite 10
mguu wa nyuma wa mbizi
ndizi 4
bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina
 
hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
castle lite 10
mguu wa nyuma wa mbizi
ndizi 4
bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina

ngoja nikaprove kwenye orodha ya junior .Cux then nakuja kuclear
 
Last edited by a moderator:
hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
castle lite 10
mguu wa nyuma wa mbizi
ndizi 4
bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina

ngoja nikaprove kwenye orodha ya junior .Cux then nakuja kuclear
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa kuachwa aa
kuachwa ni shughuli pevu

Mbaya zaidi kwa yule uliyempenda wewe unakonda yeye ananenepa..

(Source mapacha watatu)
 
Kuachwa kuachwa aa
kuachwa ni shughuli pevu

Mbaya zaidi kwa yule uliyempenda wewe unakonda yeye ananenepa..

(Source mapacha watatu)

haya sasa!.....unafuraha mpaka unavibrate,wewe!wewe kiumbe wewe!,wewe.....we ngoja
 
Shemeji kilichotokea na kinachoendelea kutoka unakijua sana tena kuliko hata mimi.na nikikubwa zaidi kuliko hata hzo gharama za nguo za harus kupotea,usijal orodhesha gharama kisha unijulishe ni kias gani mim ntalipa mara 3.Lakn unafahamu sana juu ya kinacho endelea,wala usilie shemeji yangu

wala cjui chochote shemeji, me hata hzo gharama nitasamehe, unanicngiziaga, me nataka 2 kujua kilichotokea, au ndo mana mamaa kasafiri gafla? Mana katwambia naenda TA kupumzisha akili kabla ya haruc, au ndo kakukimbia kijanja? Ntalia mimi iiiiiiiiwwaaaaaaaaahhiiiiiii
 
wala cjui chochote shemeji, me hata hzo gharama nitasamehe, unanicngiziaga, me nataka 2 kujua kilichotokea, au ndo mana mamaa kasafiri gafla? Mana katwambia naenda TA kupumzisha akili kabla ya haruc, au ndo kakukimbia kijanja? Ntalia mimi iiiiiiiiwwaaaaaaaaahhiiiiiii

usilie bwana,nyamaza nikuambie japo unajua,we huoni hata mama kalala mbele?
 
Unakumbuka tulikuambia huyo demu hafai ukadai tunakuonea gere??!

Hujiulizi kwanin ukinipigia simu unasikia wimbo "Huyo Sio Demu" wa Abdul Kiba feat. Ney??!!

Kwa taarifa yako tabia za huyo demu, Wema "anasubiri" kando.
 
Ruhazwe jr pole sn ila najua wenye kukufitini wapo humu humu
Pia Madame B ni kwa ajili ya heat and run nilishangaa unaoa lol
Nawewe ulichemsha kweli
 
Last edited by a moderator:
Unaweza toa neno kumbe wanataka kufunga ndoa ya maandazi kimya kimya baadae upate aibu,michango yetu ndiyo watafanyia mradi wao
 
Unakumbuka tulikuambia huyo demu hafai ukadai tunakuonea gere??!

Hujiulizi kwanin ukinipigia simu unasikia wimbo "Huyo Sio Demu" wa Abdul Kiba feat. Ney??!!

Kwa taarifa yako tabia za huyo demu, Wema "anasubiri" kando.

dah! Siunajua sie vizazi vya tomaso ndugu yangu,hatuamin mpaka tumeona kwa macho
 
Back
Top Bottom