Ninafuga na kuuza Samaki aina ya Sato/Tilapia

georgelulabuka2014

New Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1
Reaction score
5
Habari wana JF. Ninaitwa George Lulabuka. Ninafuga na kuuza Samaki aina ya Sato/Tilapia maeneo ya VISIGA

Kila Samaki ana uzito wa 250g -300g (wanaingia wanne au watatu ktk kilo)

Bei ya 1kg ni Tsh 8,000 tu!

Ninachukua order kuanzia 100kg-200kg kwa wiki (kwa kila mteja) ila hata wa 50kg tunaweza zungumza tukafanya biashara

Samaki wanavuliwa kutoka ktk mabwawa na kutiwa ktk matenga halafu wanapakiwa ktk gari tayari kwa kuletewa popote ulipo (Gari yenye Freezer)

Samaki hawa wamefugwa kitaalamu (kwa kutumia Aerators na chakula chenye ubora wa hali ya juu - Floating Pellets) na kwa kuzingatia kanuni bora za ufugaji Sato/Tilapia.

Tuwasiliane kwa Simu/SMS/Whatsapp 0718 609944

Siku za karibuni pia nitaanza kuuza chakula Bora cha Samaki (Floating Pellets)








 
Vifaranga vya samaki unauza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…